Tetesi: Mzungu/Muitaliano wa January Makamba kuongea na waandishi wa Habari kesho Saa Nane, Hyatt Hotel

Status
Not open for further replies.
Wewe uliyetoa taarifa ni nani!!? Au Katibu wa Mange
 
Hapo Leo ninavyowajua watakesha Kwa waganga wa kienyeji maana January na mwanvita ni washirikina hakuna mfano.
 
Ikiwa itathibitika alitoa rushwa ili apate tender nadhani sheria yetu ianzie kufanya kazi hapo, na isimuache makamba pia hawa wote wanatakiwa kuwajibishwa tu
Ndo maana fomu za maadili ya viongozi zilimshinda kuzijaza falua huyo
 
January kwa kweli yuko katika wakati mgumu sana. Ni vema mtu hata kama uko smart kiasi gani usionyeshe kudharau wengine. Hasa wale waliokuzidi kwa umri na uzoefu.
Sasa badala ya kuitwa January ataitwa match maana JIPU limeibuka match ingawa huo utapeli kaufanya kitambo.
 
That won't happpen. The consulate will advice him otherwise
 
Huyo mzungu ni decoy setup wa mda mrefu ...hela hizo aliingiziwa mwaka 2010 March na kutoka huku huku kwetu kutoka katika account zile nyeusi .Namshangaa Makamba Kwa kulelewa kiprotocol na kukaa sana under "sponsor office" alichelewa kugundua hiyo setup.Anyway ameejitahidi kucontrol damage Kwa kukubali ila tatizo mainstream media imeshatayarishwa kutake over after Mange ...unfortunately Sponsor wa sasa hatabiriki yuko Kama hydrogen peroxide , last time it took 2 former sponsors na mama Cheney kumuokoa JM ..sijui sasa.Kuhusu hiyo press ya mzungu sidhanii itakuwepo ..Clean sweep imeshafanyika ..hayupo Hyat.Labda afanye Kama Snowden.Ikiwepo basi sponsor kaamua.Anyway JM ujifunze kusikiliza wazee wa zamani na punguza kuflipflop
 
Sasa hapa ndipo nagundua ugumu wa kufikiria hususa kwa vichwa panzi kama wewe, hivi uchaguzi na suala la muitaliano vinaingilia vipi!? #JiongeaFikra au #Jitafakari
 
Sheria ya mitandao ilipikwa na hawahawa ili wasiguswe ....tulipiga kelele sana wakatupuuza ....
Kwenye sakata la sheria ya mtandao alishasoma mahala 'utabiri wa hali ya hewa' akaamua kujitengenezea ule 'mwamvuli' wa sheria za mitandao mapema.
Ila imebaki kuwa kati ya sheria mfu, maana sheria ipo lakini penyenye zinavuja kama kawa.
 
Ushauri wangu huyo Mzungu aongezewe Ulinzi
 
Trust me, YOU WILL BE DISSAPPOINTED!

Hawa magamba siwaamini kabisa story inaweza ikageuka na ikawatofauti na matarajio ya wengi. Endapo kama Makamba akianikwa wazi haitakuwa salama kwa serikali maana najua mwisho wake na yeye atarivenge kwa kuwalipua wengine.


Kwahiyo mtazamo wangu hata kama ataongea ataongea kwa kuficha mambo mengi.
 
Duh ....hii ngoma inakwenda kuunguza picha si la January tu ...ikitokea huyo Muitaliano akanyimwa kuongea au akatishwa (itajulikana tu) itaweka mwanzo mbovu kwa JPM ....Hili sakata ni vihuzi vya mwanzo mwanzo kwa JPM ...
Tokea jana January na rafiki yake Ruge wapo chimbo wanapanga jinsi ya kupangua Mawe ambayo Safari hii yatakuwa magumu kupanguliwa
 
Taarifa yako haina ukweli.
 
Sasa badala ya kuitwa January ataitwa match maana JIPU limeibuka match ingawa huo utapeli kaufanya kitambo.
Sio kila unaloliona ni Jipu ebu tuwe wadadisi kidogo maana kwa jambo kama hili sijaona mantis yakuanza kumzoza January!! WaTz tujitahidi kuwa dadisi mazee
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…