Tetesi: Mzungu/Muitaliano wa January Makamba kuongea na waandishi wa Habari kesho Saa Nane, Hyatt Hotel

Status
Not open for further replies.
Kwamba unafikiri kumuombea JPM ni tatizo.

Kwamba hujamsikia PM mpaka anechagukiwa nalo ni tatizo vike vike.
 
Mbona wanasiasa kutumbuliwa kwao inachukua muda mrefu na hata isifanyike kabisa?
 
Hivi serikali umeipata hasara kiasi gani??
 
Mimi nibora niwe mtabiri nitabiri mapema kabisaa kwamba hakuna mzungu atae ongea kesho
Atanyamazishwa kimtindo hamta amini tena msishangae aka mtetea makamba.
#tanzania nizaidi yatunavyo iyona.
 
Mzungu kishapewa chake,sasa kamwambia hadi mange aspost chochote kuhusu January,huyu mzungu pori nini?
 
wote wanafiki2, mbona hakusema toka mwanzo ina maana walikuwa wanafichiana uchafu.
 
kesho mapema tu mtu anarudishwa bumbuli akalime matunda damu jitokezen airport au ubungo mumuuage
 
Kashaona imekaa vibaya, kampenda Dada, kamwagwa, anadai madeni kwa kaka!! Bado nawaza, je ni Mzungu Muitaliano hawa hawa Waitaliano walioitawala Ethiopia, Somalia na Libya au (Mwita)kutoka Mara???. Maana naona katumia akiri ya karne ya 8 kabla ya Yesu(BC).
 
Unaambiwa na mange mzungu kalipwa pesa. Anagwaya aseme nn. Atasema ilichoambiwa anene. Tusibiri tujue
 
Hii series itakuw tamu sana aisee! Ila aliyetoa na kupokea rushwa wote washughurikiwe ipasavyo
 
nasikia muzungu kachomoa! ??! mimi nlijua tu hizi ni hekaya ... sikuwahi kumuamini mleta mada toka jana alipotudanganya

 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…