alberaps
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 1,568
- 1,002
[emoji115] inaonekana wewe unamfahamu VincENZO vizuri.kuna ma el capo 20 (maluteni) wa mafia tayari wapo nchini kumlinda mtaliano na kulipiza kisasa kwa lolote litakalomtokea mtaliano.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji115] inaonekana wewe unamfahamu VincENZO vizuri.kuna ma el capo 20 (maluteni) wa mafia tayari wapo nchini kumlinda mtaliano na kulipiza kisasa kwa lolote litakalomtokea mtaliano.
hiyo mtaliana unajua wewe. Kuliana ni kitu kingine tofauti.
Achukucha, achukucha, achukucha, achukuuuuchaaaaa.
"Tulieni tulieni, kuna mengiiii" jamaa Wa CUF.
Mkuu mlisoma naye italia nini,?Kabla hujasema yote haya inabidi kwanza uwe unamjua VincENZO Ni nani. Si mwepesi kama unavyodhani.
Mkuu VincENZO amesoma hapa hapa Dar es salaam. Lakini umaarufu alionao hapo Napoli ni kama umuulizie dayamond platnamz tandale.Mkuu mlisoma naye italia nini,?
Sasa kama amesoma hapa bongo na ni maarufu huko Napoli......ndo TISS watashindwa kumficha......Mkuu VincENZO amesoma hapa hapa Dar es salaam. Lakini umaarufu alionao hapo Napoli ni kama umuulizie dayamond platnamz tandale.
nani aliye kwambia?Uzuri MZUNGU harogeki
Umesahau hili ........HakiiiiiiiiiiiiiiiiiAchukucha, achukucha, achukucha, achukuuuuchaaaaa.
"Tulieni tulieni, kuna mengiiii" jamaa Wa CUF.
Sasa mkuu TISS Wamfiche kwa manufaa ya nani?Sasa kama amesoma hapa bongo na ni maarufu huko Napoli......ndo TISS watashindwa kumficha......
Anyway....bado masaa 18 mthungu amwage mboga.....Sasa mkuu TISSUE Wamfiche kwa manufaa ya nani?
Na kama ni hao hao TISS wanamtumia mkuu utajuaje? Haka kanchi bwana kaone hivi hivi
Wakimlipa pesa zake atakausha so usiipe hii maneno moyo wako woteAnyway....bado masaa 18 mthungu amwage mboga.....
mwenyewe nina feeling kama hiyo, watu wazoefu wa kupiga dili huwa si rahisi kihivyo ku snitchKwa kweli NAHOJI akili za watu hapa kama hii ndo wanafikiri inaenda tokea! Tatizo watu wanatumia MIHEMKO kufikiri.
Yaani akajikaange right in front of the media?? The ITALIAN NATIONAL???Haiingii akilini. Kama ataongea kweli, expect a lot of REFUTATION.