Mzungu Mweusi: Masihi/Mwokozi wa Maskini wa Afrika?

Mzungu Mweusi: Masihi/Mwokozi wa Maskini wa Afrika?

Hebu acha hizo Bob. Wewe mwezi mzima ulikuwa unafuturu na ulikuwa inashindilia kisawasawa. Na hiyo ilikuwa mwezi tu. Kwa wenzako hiyo ni daily occurence.
Wala sii kweli..Ramadhani watu hupotea kabisa appetite hasa huku majuu ndio kabisaaaa!
Tanzania pamoja na njaa watu wanafukanya kishenzi yaani portion ya msosi wa huyo Companero tunayemwona hapo juu pamoja na wembamba wake ni chakula chako kwa siku mbili...Bongo kuna chakula wala usithubutu kusema na mkulima hana shida hiyo..Umaskini wa Mtanzania ni fedha! watu wanakonda kutokana na fikra za fedha, maradhi ya wazungu.. tunarudi palepale Ulimbukeni..maskini wote Tanzania vijijini wanafuga kuku, mbuzi na shamba la mahindi, maharage lakini watalala njaa kama Mmasai mwenye ng'ombe 1,000 lakini mtazame kwenye picha!
Njaa ipo mijini na huko kila siku watu wako kazini ktk mission town wenyewe huziita. Ni njama ambazo huwezi kuzifanya ukiwa na shibe!
 
Wakuu jana nilikuwa naongea na Mzungu mmoja wa Afrika Kusini aliniambia kuwa kuna mambo madogo sana yanayotakiwa kubadilishwa kwenye vichwa vya watu weusi, ambavyo kama ikipatikana formula ya kuvibadilisha kuna uwezekano mkubwa waafrika wakawa na maendelep makubwa sana. Amepinga kuwa weusi hawana akili, ametoa evidence zake kuwa ukiwaweka weusi kufanya kazi na whites wanaperfomr better kuliko hata whites.
Amesema kuna mawili makubwa. La kwanza ni uaminifu, amesema wengi si waaminifu, wadokozi na wezi wakubwa. La pili ambalo anaona ni kubwa zaidi ni kuwa weusi tuna lack togetherness au kujiita sisi. Sikuelewa sana pointi yake lakini alikuwa anazungumzia sana kitu kama collectiveness, obectiveness na subjectiveness. anasema sisi ni wabinafsi sana ndio maana wazungu 20 wanaweza kuwatawa waafrika 100, lakini waafrika 1000 hawawezi kuwatawala hata wazungu watano.
Nyani Ngabu, hii sijawahi kuisikia vizuri ukiweza naona utufafanulie vizuri lakini nadhani alisema kitu cha kweli kabisa. Hasa nilipokuwa najaribu ku-relate na hali halisi ya hapa Tanzania. Naona mtu yuko radhi auze watanzania wenzake kwa ajili ya visenti kutoka kwa Rostam. Ndio maana Rostam ana easy ride ya kuiendesha serikali na watanzania wote.

Kuna kaka yangu aliwabebea sana maboksi wazungu huko Majuu. Sasa yuko Bongo anajaribu kuanzisha kampuni yake mwenyewe. Kila siku nikikutana naye ananiambia kuwa wazungu wanatuzidi kwa kuwa ni wazalendo na sisi ni wabinafsi. Huwa simuelewi kabisa kwa kuwa Waafrika ndio tunahubiri sana uzalendo na ujamaa. Sasa naanza kumuelewa hasa baada ya kuyasoma hayo uliyoyaandika na aliyoyasema 'Limbukeni' wa 'Malimbukeni' Mkandara!
 
Kuna kaka yangu aliwabebea sana maboksi wazungu huko Majuu. Sasa yuko Bongo anajaribu kuanzisha kampuni yake mwenyewe. Kila siku nikikutana naye ananiambia kuwa wazungu wanatuzidi kwa kuwa ni wazalendo na sisi ni wabinafsi. Huwa simuelewi kabisa kwa kuwa Waafrika ndio tunahubiri sana uzalendo na ujamaa. Sasa naanza kumuelewa hasa baada ya kuyasoma hayo uliyoyaandika na aliyoyasema 'Limbukeni' wa 'Malimbukeni' Mkandara!

Kaka yako anaboronga kama wewe. Kinachomwendeleza Mzungu ni ubinafsi na sio uzalendo.

Kwanza katika ubinafsi wake anajua mtu akipewa nafasi ya uongozi bila kufanyiwa check and balance, ana-abuse nafasi yake. Hivyo hawaaminiani. Ndio maana dili moja na wazungu itabidi upige saini makaratasi chungu mzima. Muulize mtu yoyote aliyenunua nyumba Marekani na akwambie kibunda cha makaratasi anachotakiwa kusoma na kupiga saini.

Wazungu ni wabinafsi kwa sababu hawaangalii nyuma. Classmates wangu niliomaliza nao shule wanaangalia maisha yao binafsi. Hawasaidii baba au mama zao. Hawasaidii kaka zao. Majukumu ni yao binafsi na sio ya extended family.

Huyo brother wako alipokuwa anapiga mabox, ulikuwa unampiga mizinga. Inawezekana bado anapingwa mizinga akiwa kwenye harakati za kufungua kampuni. Kama angekuwa mbinafsi kama wazungu, tayari angeshakuwa na kampuni.

Vilevile classmates niliomaliza nao shule Ulaya na kuja Marekani, hawatumi pesa kwa wazazi wao nyumbani. Kila mtu anasema nimefika Marekani na naanza maisha kama Mmarekani. Lakini watanzania wengi tunakumbuka wazazi nyumbani.
 
Kaka yako anaboronga kama wewe. Kinachomwendeleza Mzungu ni ubinafsi na sio uzalendo.

Kwanza katika ubinafsi wake anajua mtu akipewa nafasi ya uongozi bila kufanyiwa check and balance, ana-abuse nafasi yake. Hivyo hawaaminiani. Ndio maana dili moja na wazungu itabidi upige saini makaratasi chungu mzima. Muulize mtu yoyote aliyenunua nyumba Marekani na akwambie kibunda cha makaratasi anachotakiwa kusoma na kupiga saini.

Wazungu ni wabinafsi kwa sababu hawaangalii nyuma. Classmates wangu niliomaliza nao shule wanaangalia maisha yao binafsi. Hawasaidii baba au mama zao. Hawasaidii kaka zao. Majukumu ni yao binafsi na sio ya extended family.

Huyo brother wako alipokuwa anapiga mabox, ulikuwa unampiga mizinga. Inawezekana bado anapingwa mizinga akiwa kwenye harakati za kufungua kampuni. Kama angekuwa mbinafsi kama wazungu, tayari angeshakuwa na kampuni.

Vilevile classmates niliomaliza nao shule Ulaya na kuja Marekani, hawatumi pesa kwa wazazi wao nyumbani. Kila mtu anasema nimefika Marekani na naanza maisha kama Mmarekani. Lakini watanzania wengi tunakumbuka wazazi nyumbani.

Mkuu hii hoja yako mbona haiwezi kujibu hoja ya Bongolander? Au unaionea ya kwangu kwa kuwa ina upenyo ulioutumia kuizima? Itumie na kwa Bongolander pia tuone uwezo wa nadharia hiyo kupinga uzalendo wa wazungu 20 kama Kinara wako Karl Peters wanaungana kizalendo kuwacharaza bakora Waafrika milioni 20,000 kwa ajili ya kuendeleza Taifa lao la Kijerumani!
 
Wakuu jana nilikuwa naongea na Mzungu mmoja wa Afrika Kusini aliniambia kuwa kuna mambo madogo sana yanayotakiwa kubadilishwa kwenye vichwa vya watu weusi, ambavyo kama ikipatikana formula ya kuvibadilisha kuna uwezekano mkubwa waafrika wakawa na maendelep makubwa sana. Amepinga kuwa weusi hawana akili, ametoa evidence zake kuwa ukiwaweka weusi kufanya kazi na whites wanaperfomr better kuliko hata whites.
Amesema kuna mawili makubwa. La kwanza ni uaminifu, amesema wengi si waaminifu, wadokozi na wezi wakubwa. La pili ambalo anaona ni kubwa zaidi ni kuwa weusi tuna lack togetherness au kujiita sisi. Sikuelewa sana pointi yake lakini alikuwa anazungumzia sana kitu kama collectiveness, obectiveness na subjectiveness. anasema sisi ni wabinafsi sana ndio maana wazungu 20 wanaweza kuwatawa waafrika 100, lakini waafrika 1000 hawawezi kuwatawala hata wazungu watano.
Nyani Ngabu, hii sijawahi kuisikia vizuri ukiweza naona utufafanulie vizuri lakini nadhani alisema kitu cha kweli kabisa. Hasa nilipokuwa najaribu ku-relate na hali halisi ya hapa Tanzania. Naona mtu yuko radhi auze watanzania wenzake kwa ajili ya visenti kutoka kwa Rostam. Ndio maana Rostam ana easy ride ya kuiendesha serikali na watanzania wote.

Katika jamii kuna kitu kinaitwa affinity. Mataifa mengi ya wazungu wamegawanywa kutokana demographic ya sehemu hiyo. Ukienda Uingereza ni nchi ya waingereza. Ujerumani ni nchi ya kabila la wajerumani. Italy ni waitaliano.

Hivyo uzalendo wao hautokani kabisa na mipaka ya nchi bali mahusiano ya watu wenyewe. Nchi zetu ni mipaka ya kijiografia tu lakini ndani ya nchi hatuna uhusiano wa ku-bond.

Kuna watanzania wengi wanazungumza kiswahili toka kuzaliwa na hiyo ndio lugha wanayoielewa lakini hawakubali kuitwa waswahili hata siku moja.

Hivyo mzungu mmoja anaweza kuona anatawala waafrika 100 lakini waafrika hao ni tofauti na wenye interests tofauti. Mwambie ajaribu kutawala watu wenye dini moja, kabila moja na lugha moja.
 
Mkuu hii hoja yako mbona haiwezi kujibu hoja ya Bongolander? Au unaionea ya kwangu kwa kuwa ina upenyo ulioutumia kuizima? Itumie na kwa Bongolander pia tuone uwezo wa nadharia hiyo kupinga uzalendo wa wazungu 20 kama Kinara wako Karl Peters wanaungana kizalendo kuwacharaza bakora Waafrika milioni 20,000 kwa ajili ya kuendeleza Taifa lao la Kijerumani!

Inabidi akamsome Ibn Khaldun na aone kwanini Roman Empire iliweza kuleta maendeleo katika maeneo mengi. Lakini ilipovunjika maeneo mengi yalishindwa kuendeleza kile kilichoachwa na Romans kwa zaidi ya miaka 500 na nchi zingine mpaka leo maendeleo ya Romans yako kwenye ruins.
 
Companero,
Mkuu wangu mara nimeshakuwa Limbukeni wa Malimbkeni!..lakini hujakosea maadam nipo na Wadanganyika wenzangu sina budi kukubali..
 
Companero,
Mkuu wangu mara nimeshakuwa Limbukeni wa Malimbkeni!..lakini hujakosea maadam nipo na Wadanganyika wenzangu sina budi kukubali..

Mkuu si ume-apply nadharia ya Nyani Juliasi 'kuthibitisha' kuwa sisi Waafrika ni malimbukeni. Sasa huoni hii ina maana Mwafrika aliyegundua kuwa Waafrika ni malimbukeni lazima atakuwa ndio limbukeni wa malimbukeni? Au wewe ndio Masihi Mzungu Mweusi ajaye kutuokoa na ulimbukeni wetu baada ya kuuvua ulimbukeni huko kwa Wazungu Weupe?
 
Inabidi akamsome Ibn Khaldun na aone kwanini Roman Empire iliweza kuleta maendeleo katika maeneo mengi. Lakini ilipovunjika maeneo mengi yalishindwa kuendeleza kile kilichoachwa na Romans kwa zaidi ya miaka 500 na nchi zingine mpaka leo maendeleo ya Romans yako kwenye ruins.

Hivi unajua kila siku najiuliza inakuwaje pale Mikindani na Kilwa kuna magofu ya magorofa ya mawe ila yamezungukwa na vijumba vya udongo! Pia najiuliza inakuwaja pale Zimbabwe pia yapo magofu ya himaya ya Monomotapa ila nayo yamezungukwa na vibanda vya udongo! Natumaini kale kajamaa kanakodai majuu hakuna nyumba za udongo hakajaisoma hii!
 
Katika jamii kuna kitu kinaitwa affinity. Mataifa mengi ya wazungu wamegawanywa kutokana demographic ya sehemu hiyo. Ukienda Uingereza ni nchi ya waingereza. Ujerumani ni nchi ya kabila la wajerumani. Italy ni waitaliano.

Hivyo uzalendo wao hautokani kabisa na mipaka ya nchi bali mahusiano ya watu wenyewe. Nchi zetu ni mipaka ya kijiografia tu lakini ndani ya nchi hatuna uhusiano wa ku-bond.

Kuna watanzania wengi wanazungumza kiswahili toka kuzaliwa na hiyo ndio lugha wanayoielewa lakini hawakubali kuitwa waswahili hata siku moja.

Hivyo mzungu mmoja anaweza kuona anatawala waafrika 100 lakini waafrika hao ni tofauti na wenye interests tofauti. Mwambie ajaribu kutawala watu wenye dini moja, kabila moja na lugha moja.


Hapa nadhani unazidi tu kumsapoti Bongolander. Hiyo Affinity si ndio umoja wenyewe. Na umoja sio ndio unaleta uzalendo. Hebu cheki washikaji wanavyoungana kwenye NATO n.k. kujilinda na kuwapiga wenzetu. Yaani mpaka wanasema kama huko nasi badi u dhidi yetu. Kama huo sio uzalendo ni nini basi? Sisi wakati wa kupambana na mkaburu nchi kibao za Kiafrika zilitusaliti na kukacha kuunganisha sauti moja pamoja nasi dhidi yao!

Kama nilivyosema hapo awali, utaifa bila uzalendo umekufa!
 
mkuu campanero,
mimi sielewi ''mzungu mweusi'' hasa hasa ni nani?
u,emopoteza kabisa kaka.msaada kwenye tuta
 
mkuu campanero,mimi sielewi ''mzungu mweusi'' hasa hasa ni nani?umenipoteza kabisa kaka.msaada kwenye tuta

Ni Mwafrika 'Mweusi':

1. Anayefikiri Kizungu
2. Anayeota Kizungu
3. Anayeongea Kizungu
4. Anayeandika Kizungu
5. Anayetenda Kizungu
6. Anayepanga Kizungu
7. Anayeishi Kizungu

Mfano halisi ni:

1. Capitalist Nigger Julius
 
Uvivu, Choyo, Kudharauliana, Kutothaminiana, Uchovu wa fikra na Visingizio... Hizi ni sababu chache zinazo changia Waafrika kutoweza kujikomboa, kiuchumi, kifikra na Kiitikadi.
 
Hapa nadhani unazidi tu kumsapoti Bongolander. Hiyo Affinity si ndio umoja wenyewe. Na umoja sio ndio unaleta uzalendo. Hebu cheki washikaji wanavyoungana kwenye NATO n.k. kujilinda na kuwapiga wenzetu. Yaani mpaka wanasema kama huko nasi badi u dhidi yetu. Kama huo sio uzalendo ni nini basi? Sisi wakati wa kupambana na mkaburu nchi kibao za Kiafrika zilitusaliti na kukacha kuunganisha sauti moja pamoja nasi dhidi yao!

Kama nilivyosema hapo awali, utaifa bila uzalendo umekufa!

Nilitaka kuonyesha kuwa uzalendo wa mzungu hautokani na ubadilishaji wa kiakili kama anavyotaka watu weusi wabadilike.

Affirnity ya wenzetu hipo very strong. Kumbuka kuwa wafaransa ni kabila lenye kuzungumza kifaransa lenye kuishi kwenye taifa liitwalo ufaransa.

Hivyo mfaransa hajifunzi kuwa mfaransa na hatakiwi kuwa na masomo ya kufundisha kitu ambacho amezaliwanacho.

Tukija kwetu Afrika, kuna nchi mawasiliano kati ya watu wa makabila tofauti yanafanyika kwenye lugha ya kizungu. Na kitu kilichowaunganisha ni mipaka iliyowekwa na wageni na rangi yao ya ngozi. Vitu hivi sio misingi ya uzalendo japokuwa vilituunganisha wakati wa mkoloni kwa sababu tulikuwa na common enemy.

Na Ibn Khaldun anakwambia kuwa Bedouin Arabs hawakuwa na uzalendo. Ni dini iliwaunganisha na wao kuweza kufikia stardom ya kuanzisha empires.

Hivyo Nyerere kupromote lugha alikuwa sahihi, na kuchanganya watu washuleni alikuwa sahihi. Bahati mbaya hakuwa na resources tu kwa sababu zoezi hili linahitaji muda mrefu na resources nyingi.
 
Mfano halisi ni:

1. Capitalist Nigger Julius

Why are you getting personal? Is it because you are frustrated coz you can't do shi.t to change the situation so you have to take it on me? Nigger please....
 
Why are you getting personal? Is it because you are frustrated coz you can't do shi.t to change the situation so you have to take it on me? Nigger please....

Dude are you the only Julius in this world? Or the only Capitalist Nigger who happens to be called Julius? Remember even the other Julius admitted that he was once a 'Mzungu Mweusi' - it is even claimed that he nicknamed himself Julius Cambridge instead of Juliusa Kambarage!
 
Dude are you the only Julius in this world? Or the only Capitalist Nigger who happens to be called Julius? Remember even the other Julius admitted that he was once a 'Mzungu Mweusi' - it is even claimed that he nicknamed himself Julius Cambridge instead of Juliusa Kambarage!

Dude, I wasn't born yesterday so cut it out before things get out of hand.
 
Julius by the way in Onyeani's sense this is what I mean by 'capitalist nigger':

Capitalist Nigger: The Road to Success: A Spider Web Doctrine (Timbuktu Publishers, September 17, 2000) asserts that the Black Race, is a consumer race and not a productive race. Says the author, Chika Onyeani, "We are a conquered race and it is utterly foolish for us to believe that we are independent. The Black Race depends on other communities for its culture, its language, its feeding, and its clothing." "Despite enormous natural resources," according to the author, "Blacks are economic slaves because they lack the "killer-instinct" and "devil-may-care" attitude of the Caucasian, as well as the "spider web economic mentality" of the Asian." The author is not afraid to use the word 'nigger' in both pejorative or stereotypic senses. He says, "It is not what you call me, but what I answer to, that matters most."

The book asserts that "Blacks are economic slaves. We are owned lock stock and barrel by people of European-origin ... I am tired of hearing Blacks always blaming others for their lack of progress in this world; I am tired of the whining and victim-mentality. I am tired of listening to the same complaint, day in day out - racism this, racism that. It's getting us nowhere." "Africans have a stance, 'live for today, let tomorrow take care of itself and be damned' attitude," the author says. "We've become a sheep-like consumer race that depends on other communities for our culture, language, feeding, and clothing. We've become economic slaves in Western society." The argument that Blacks must become economically self-reliant and foster collective partnering relationships is not new. It has been voiced by such notable figures as Booker T. Washington, W. E. B. Du Bois, Franz Fanon, Marcus Garvey, Steve Biko, Ezekiel Mphahlele, Thabo Mbeki, and Malcolm X.

The basis of Onyeani's argument is that Blacks must mimic Asian People and adopt what he calls a "spider-web doctrine". According to Onyeani, by adopting this economic concept Blacks will be able to attract wealth to their communities, and trap it there as a spider traps flies.[1] This is the basis for the books assertions; that Blacks must only purchase Black-manufactured goods, patron Black stores, or eat in Black establishments, etc.

Source: [ame]http://en.wikipedia.org/wiki/Capitalist_Nigger[/ame]
 
Hivyo Nyerere kupromote lugha alikuwa sahihi, na kuchanganya watu washuleni alikuwa sahihi. Bahati mbaya hakuwa na resources tu kwa sababu zoezi hili linahitaji muda mrefu na resources nyingi.
Kweli kabisa! Tunahitaji muda mrefu zaidi kutekeleza Ujamaa (Mamboleo) ili tuendelee. Hasa baada ya kupoteza muda mwingi tukijaribu sera za wengine. Hakika Mwalimu aliona mbali sana aliposema maneno haya:

The Arusha Declaration was what made Tanzania distinctly Tanzania. We stated what we stood for, we laid down a code of conduct for our leaders and we made an effort to achieve our goals. This was obvious to all, even if we made mistakes - and when one tries anything new and uncharted there are bound to be mistakes.

The Arusha Declaration and our democratic single-party system, together with our national language, Kiswahili, and a highly politicized and disciplined national army, transformed more than 126 different tribes into a cohesive and stable nation.

However, despite this achievement, they say we failed in Tanzania, that we floundered. But did we? We must say no. We can't deny everything we accomplished. There are some of my friends who we did not allow to get rich; now they are getting rich and they say `See, we are getting rich now, so you were wrong'. But what kind of answer is that?

...But I still think that in the end Tanzania will return to the values and basic principles of the Arusha Declaration.

Source: http://www.hartford-hwp.com/archives/30/049.html
 
''Miafrika Ndivyo Tulivyo''
1) Chuki
2) Fitina
3) Uongo
4) Ulimbukeni
5) Roho Mbaya
6) Imani Dhaifu
7) Hatuna Muono
8) Wachafu
9) Wazembe
10) Tamaa.
ongezeeni
 
Back
Top Bottom