Kingdom_man
JF-Expert Member
- May 19, 2010
- 405
- 462
True Story:
Kulikuwapo mzungu na nyani wake pembeni alikuwapo mwafrika anauza ndizi; Mwafrika akamuomba mzungu amlindie ndizi zake anatoka kidogo. Aliporudi akakuta ndizi zake zimeliwa Alipomuliza mzungu akamjibu amekula ndugu yako akimanisha nyani. Baadae kidogo mzungu akaenda kujisaidia akamuomba mwafrika amlindie nyani wake aliporudi akamkuta amekufa, Alipomuliza mwafrika akamjibu "hayakuhusu haya ni mambo ya kifamilia"
HAPPY NEW YEAR
Kulikuwapo mzungu na nyani wake pembeni alikuwapo mwafrika anauza ndizi; Mwafrika akamuomba mzungu amlindie ndizi zake anatoka kidogo. Aliporudi akakuta ndizi zake zimeliwa Alipomuliza mzungu akamjibu amekula ndugu yako akimanisha nyani. Baadae kidogo mzungu akaenda kujisaidia akamuomba mwafrika amlindie nyani wake aliporudi akamkuta amekufa, Alipomuliza mwafrika akamjibu "hayakuhusu haya ni mambo ya kifamilia"
HAPPY NEW YEAR