Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Wale vimwana wa JF wanaompenda Dabby mbona siwaoni huku? Ina maana wamekimbia?? Kumbe ni vilaza!! [emoji1][emoji1][emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nimeipenda sana Hakusimamisha Dunia Bali Alisimamisha JUA gudDunia haizunguki, bali jua ndilo huzunguka ... Uthibitisho ni pale nabii Fulani aliposimamisha jua ili apigane na maadui..
Hivi mkuu nzi si anakuwa kaikanyaga dunia? Je na mimi nikiwa kwenye ndege si nakuwa nimeikanyaga ndege? Sasa ndege imeikanyaga dunia? ??? Ndiyo maana nikauliza speed ya Exosphere au ya Mesosphere ni sawa na ya mentle au ya crust? Kama ndiyo kwanini? Kama sio kwanini ukiwa kwenye ndege usione hizo tofauti? Wewe ndiye ukaze kichwa
ndyo mkuuHii nimeipenda sana Hakusimamisha Dunia Bali Alisimamisha JUA gud
Wewe umekuja mkuu...
Mass ya dunia ndiyo hupelekea mzunguko wa dunia kupitia centrifugal force. Sasa kwanini anga lililo na mass ndogo lizunguke sawa na kwa speed ileile na mantle crust n.k?
Kutokana na kani ha uvutano kati ga dunia na vitu vinginevyenye uzito dunia huvuta kwa kani ya kg9.8 kwa kila nutoni moja,,,, lakini hewa ni fluid ,, mfano chukulia maji yalokwene besen au ndoo ukivuta beseni maji huwa hayaendi sawa na mwendo wa maji yaliyoko kutokana na mshikamana na wepeai wa Maji ko dunia haiezi kenda sawa na upepo hataWewe umekuja mkuu...
Mass ya dunia ndiyo hupelekea mzunguko wa dunia kupitia centrifugal force. Sasa kwanini anga lililo na mass ndogo lizunguke sawa na kwa speed ileile na mantle crust n.k?
Religion is an old science!Hii nimeipenda sana Hakusimamisha Dunia Bali Alisimamisha JUA gud
Haiwezi kukosea make tayari majumuisho ya speed ishafanyikaisikosee sehemu ya kutua?
Ujasom physics eeeh[emoji283]Wakuu ninaswali kama sio maswali.
Ni hivi dunia inajizungusha kwenye mhimili wake tunapata usiku na mchana hapo sawa.
Sasa ishu inakuja kwanini hatushuhuudii/kuhisi mzunguko huo? Je ni kwasababu nilipo au ulipo ni sehemu ndogo ya huo mzunguko ndiyo maana siuhisi au kuuona huo mzunguko?
Kama jibu ni ndiyo..je ndege ikiwa angani kwanini abiria usione jinsi dunia inavyozunguka kwa maana ndege inakuwa imeshatoka duniani? Kama sio kuona kutokana na speed ni kubwa saana kwanini hata usihisi? Je ndege inatumia technolojia gani kukimbiza/kufukuzia sehemu ya dunia inapoenda kutua maana itakuwa inazunguka AKA INAHAMA KWA SPEED KUBWA? Hayo yote yakitegemea speed ya mzunguko wa dunia ni 40000 ÷24 = 1670km/hour. Gari lenyewe speed 100 au 120 ni unatoa machozi kama unachungulia nje.
Ndege inawezaje kufukuzia hiyo speed? Na wakati normal speed ya ndege ni 475 km/hour to 540km/hour?
(nipo tayari kurekebishwa)
Majibu ya maswali haya yatakuwa mwendelezo wa maswali mengine.
weeee ushindwe tena ulegeeReligion is an old science!
Ndiyo maana nayo ni sehemu ya dunia. Bado kuna uvutano wa dunia ndani ya atmosphere.Asanteni kwa majibu. Je atmosphere inazunguka pamoja na dunia hii hii na kwa speed ileile?
Zamani nilikuwa najiuliza swali kama lako. Nilikuwa na dhana kichwani kwamba endapo nikiwa na uwezo wa kuelea angani na kwasababu dunia inazunguka, je naweza kujikuta niko anga ya sehemu nyingine, lets say Marekani? Nakaja kugundua kwamba anga nayo ni sehemu ya dunia ingawa kadri unavyokwenda anga za mbali uvutano hupungua. Sina uhakika ni kwa ngapi utaondokana na uvutano huu.Asanteni kwa majibu. Je atmosphere inazunguka pamoja na dunia hii hii na kwa speed ileile?
Asante mkuu. Sikubahatika kusoma soma saana ndiyo maana. Nimeishia IV.Zamani nilikuwa najiuliza swali kama lako. Nilikuwa na dhana kichwani kwamba endapo nikiwa na uwezo wa kuelea angani na kwasababu dunia inazunguka, je naweza kujikuta niko anga ya sehemu nyingine, lets say Marekani? Nakaja kugundua kwamba anga nayo ni sehemu ya dunia ingawa kadri unavyokwenda anga za mbali uvutano hupungua. Sina uhakika ni kwa ngapi utaondokana na uvutano huu.
Kama ulisoma Physiscs A-level kuna Kepler's law of motion. Hii inaelezea uvutano uliopo kati ya objects mbili zenye uzito tofauti. Ungeweza kujiuliza dunia inawezaje kuelea angani na uzito wote ilio nao? Na sayari zote angani zinaelea, je hii inewezekana vipi? Ni kwasababu sayari zote zina uvutano na jua ambalo liko katikati ya solar system. Kwahiyo pamoja na wewe kuvutwa na dunia kuelekea kwenye center yake bado dunia nayo ina uvutano na jua ndo maana ikaweza kuelea.
ila mtume Mohammed anaweza.HAYO YA ALLAH MWENYEWE SIZANI KAMA.YESU ANAWEZAA KUUMBA HAYOO nimewasilisha
YESU SI MUNGU MUHAMADI HAWEZII KUUMBA COZ SIO MUUMBA YEYEila mtume Mohammed anaweza.