Mzunguko wa dunia katika mhimili wake

Mzunguko wa dunia katika mhimili wake

Wale vimwana wa JF wanaompenda Dabby mbona siwaoni huku? Ina maana wamekimbia?? Kumbe ni vilaza!! [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Dunia haizunguki, bali jua ndilo huzunguka ... Uthibitisho ni pale nabii Fulani aliposimamisha jua ili apigane na maadui..
Hii nimeipenda sana Hakusimamisha Dunia Bali Alisimamisha JUA gud
 
Hivi mkuu nzi si anakuwa kaikanyaga dunia? Je na mimi nikiwa kwenye ndege si nakuwa nimeikanyaga ndege? Sasa ndege imeikanyaga dunia? ??? Ndiyo maana nikauliza speed ya Exosphere au ya Mesosphere ni sawa na ya mentle au ya crust? Kama ndiyo kwanini? Kama sio kwanini ukiwa kwenye ndege usione hizo tofauti? Wewe ndiye ukaze kichwa

Kaka nimekupa mfano wa nzi akiwa ndani ya ndege au hata gari, wakati gari au ndege iko kwenye speed yake, Nzi aliyemo ndani ya Ndege ama Gari anaweza pia kuruka kutoka sehemu moja kwenda nyingine

Speed ya mantle au Crust ni sawa na speed ya Mesosphere, lakini ninashida kidogo na Exosphere maana hata wataalamu wengine wanabishana katika kuiweka Exosphere kuwa sehemu ya Atmosphere, wengi wanasema Atmosphere inaishia kwenye Thermosphere
 
Wewe umekuja mkuu...
Mass ya dunia ndiyo hupelekea mzunguko wa dunia kupitia centrifugal force. Sasa kwanini anga lililo na mass ndogo lizunguke sawa na kwa speed ileile na mantle crust n.k?

"
Kutokana na kani ha uvutano kati ga dunia na vitu vinginevyenye uzito dunia huvuta kwa kani ya kg9.8 kwa kila nutoni moja,,,, lakini hewa ni fluid ,, mfano chukulia maji yalokwene besen au ndoo ukivuta beseni maji huwa hayaendi sawa na mwendo wa maji yaliyoko kutokana na mshikamana na wepeai wa Maji ko dunia haiezi kenda sawa na upepo hata troposphere."
Wewe umekuja mkuu...
Mass ya dunia ndiyo hupelekea mzunguko wa dunia kupitia centrifugal force. Sasa kwanini anga lililo na mass ndogo lizunguke sawa na kwa speed ileile na mantle crust n.k?
Kutokana na kani ha uvutano kati ga dunia na vitu vinginevyenye uzito dunia huvuta kwa kani ya kg9.8 kwa kila nutoni moja,,,, lakini hewa ni fluid ,, mfano chukulia maji yalokwene besen au ndoo ukivuta beseni maji huwa hayaendi sawa na mwendo wa maji yaliyoko kutokana na mshikamana na wepeai wa Maji ko dunia haiezi kenda sawa na upepo hata
 
Wakuu ninaswali kama sio maswali.
Ni hivi dunia inajizungusha kwenye mhimili wake tunapata usiku na mchana hapo sawa.

Sasa ishu inakuja kwanini hatushuhuudii/kuhisi mzunguko huo? Je ni kwasababu nilipo au ulipo ni sehemu ndogo ya huo mzunguko ndiyo maana siuhisi au kuuona huo mzunguko?

Kama jibu ni ndiyo..je ndege ikiwa angani kwanini abiria usione jinsi dunia inavyozunguka kwa maana ndege inakuwa imeshatoka duniani? Kama sio kuona kutokana na speed ni kubwa saana kwanini hata usihisi? Je ndege inatumia technolojia gani kukimbiza/kufukuzia sehemu ya dunia inapoenda kutua maana itakuwa inazunguka AKA INAHAMA KWA SPEED KUBWA? Hayo yote yakitegemea speed ya mzunguko wa dunia ni 40000 ÷24 = 1670km/hour. Gari lenyewe speed 100 au 120 ni unatoa machozi kama unachungulia nje.

Ndege inawezaje kufukuzia hiyo speed? Na wakati normal speed ya ndege ni 475 km/hour to 540km/hour?
(nipo tayari kurekebishwa)

Majibu ya maswali haya yatakuwa mwendelezo wa maswali mengine.
Ujasom physics eeeh[emoji283]
 
Asanteni kwa majibu. Je atmosphere inazunguka pamoja na dunia hii hii na kwa speed ileile?
Ndiyo maana nayo ni sehemu ya dunia. Bado kuna uvutano wa dunia ndani ya atmosphere.
 
Asanteni kwa majibu. Je atmosphere inazunguka pamoja na dunia hii hii na kwa speed ileile?
Zamani nilikuwa najiuliza swali kama lako. Nilikuwa na dhana kichwani kwamba endapo nikiwa na uwezo wa kuelea angani na kwasababu dunia inazunguka, je naweza kujikuta niko anga ya sehemu nyingine, lets say Marekani? Nakaja kugundua kwamba anga nayo ni sehemu ya dunia ingawa kadri unavyokwenda anga za mbali uvutano hupungua. Sina uhakika ni kwa ngapi utaondokana na uvutano huu.

Kama ulisoma Physiscs A-level kuna Kepler's law of motion. Hii inaelezea uvutano uliopo kati ya objects mbili zenye uzito tofauti. Ungeweza kujiuliza dunia inawezaje kuelea angani na uzito wote ilio nao? Na sayari zote angani zinaelea, je hii inewezekana vipi? Ni kwasababu sayari zote zina uvutano na jua ambalo liko katikati ya solar system. Kwahiyo pamoja na wewe kuvutwa na dunia kuelekea kwenye center yake bado dunia nayo ina uvutano na jua ndo maana ikaweza kuelea.
 
Zamani nilikuwa najiuliza swali kama lako. Nilikuwa na dhana kichwani kwamba endapo nikiwa na uwezo wa kuelea angani na kwasababu dunia inazunguka, je naweza kujikuta niko anga ya sehemu nyingine, lets say Marekani? Nakaja kugundua kwamba anga nayo ni sehemu ya dunia ingawa kadri unavyokwenda anga za mbali uvutano hupungua. Sina uhakika ni kwa ngapi utaondokana na uvutano huu.

Kama ulisoma Physiscs A-level kuna Kepler's law of motion. Hii inaelezea uvutano uliopo kati ya objects mbili zenye uzito tofauti. Ungeweza kujiuliza dunia inawezaje kuelea angani na uzito wote ilio nao? Na sayari zote angani zinaelea, je hii inewezekana vipi? Ni kwasababu sayari zote zina uvutano na jua ambalo liko katikati ya solar system. Kwahiyo pamoja na wewe kuvutwa na dunia kuelekea kwenye center yake bado dunia nayo ina uvutano na jua ndo maana ikaweza kuelea.
Asante mkuu. Sikubahatika kusoma soma saana ndiyo maana. Nimeishia IV.

Haya mambo yanachanganya saaana bwana.
 
Back
Top Bottom