Kindness7777
New Member
- Feb 16, 2017
- 2
- 1
Wadada wengi huwakimbia wakaka wanaojali wasio na uwezo mkubwa wa kifedha na kuwafwata wenye pesa hata kama hawajali...baadae wakitendwa na wenye pesa hurudi kwa wanaojali kufarijiwa...maumivu yakiisha wakisahau huenda tena kwa wenye pesa![emoji4] [emoji4] [emoji4] ni mtazamo tu!