Mfufua Nyuzi
JF-Expert Member
- Mar 11, 2024
- 412
- 395
Ncheke kwanza haya endeleeni kucheza rede na mdako maana ligi ya wanaume mmeishindwa 😂😂Rede mchanganyiko na mdako
Ewaaa na mabinti wanafurahia michezo yao sasaiyo ndo michezo ya mabinti.
MWASIBUUUUUUUUUUUUUUUUUU!Rede mchanganyiko na mdako
Oh pole Yao wacheza rede [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Ligi ya wanaume tena wababe,sio kule kwa wacheza rede.
Anza na ya MhasibuNatamani ni-reply kila komenti ya KOLOZIDAD [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ligi ya wanaume tena wababe,sio kule kwa wacheza rede.
Rede mchanganyiko na mdako
Samqleko ostadhiYaani ni vurugu tu, mara wacheze uchi mara walishane keki ni uzumbukuku mtindo mmoja.....
Kweli unaingia ktk mashindano ya kiume CL theni unabana pua BYUTI BYUTI dah......
Utopolo ni sawa na afande rama wa kule[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]