Kommando muuza madafu
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 3,216
- 7,254
Vipi mnaendeleaje?Ligi ya wanaume tena wababe,sio kule kwa wacheza rede.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi mnaendeleaje?Ligi ya wanaume tena wababe,sio kule kwa wacheza rede.
Umepotea sisterMnataka tuwepo ili iweje
Unaendeleaje mwasibu?Rede mchanganyiko na mdako
Rede njema,,,kuimba kupokelezanaLigi ya wanaume tena wababe,sio kule kwa wacheza rede.
Weeee Kalapina weeeMnataka tuwepo ili iweje
Mwasibu hajawahi kuwa sahihi hata siku moja. Hata akikuambia kuwa eti rais wa Tanzania ni Samia Suluhu Hassan itabidi uende Magogoni au Chamwino ukahakikishe maana anaweza kuwa anakufunga kamba 😁Ndio Simba SC yupo sasa hivi huko
Nambie keishaa...Weeee Kalapina weee
Nimerudi sasa kaka angu...Umepotea sister
Eeenheeee....-Kwenye Top 10 ya vilabu bora Afrika, Ni timu moja tu (Pyramids) ndio ipo Shirikisho (CAFCC) huku Petro Atletico de Luanda wakiwa hawashiriki michuano ya CAF baada ya kutolewa hatua ya makundi.
Timu zingine 8 zote zipo Kombe la Mabingwa (CAFCL).
[emoji1093]Al Ahly - 𝗖𝗔𝗙𝗖𝗟
[emoji1173]Wydad AC - 𝗖𝗔𝗙𝗖𝗟
[emoji1249]Esperance - 𝗖𝗔𝗙𝗖𝗟
[emoji1173]Raja AC - 𝗖𝗔𝗙𝗖𝗟
[emoji1221]Mamelodi Sundowns - 𝗖𝗔𝗙𝗖𝗟
[emoji1026]CR Belouizdad - 𝗖𝗔𝗙𝗖𝗟
[emoji1241]Simba - 𝗖𝗔𝗙𝗖𝗟
[emoji1029]Petro Atletico [emoji777]
[emoji1026]Js Kabyle - 𝗖𝗔𝗙𝗖𝗟
[emoji1093]Pyramids - ℂ𝔸𝔽ℂℂ
Katika timu 8 zilizoingia hatua ya robo fainali ya CAFCL ni timu mbili tu ndizo zinatoka timu zenye watu wengi weusi
Mamelodi Sundowns - South Africa
Simba Sc - Tanzania.
Timu zingine zote 6 zinatoka Kaskazini (Waarabu)
Al Ahly - Misri
Wydad AC - Morocco
Esperance - Tunisia
Raja AC - Morocco
CR Belouizdad - Algeria
Js Kabyle - Algeria
Hivi mtani umeolewa?Mnataka tuwepo ili iweje
Mtani vipi mbona maswali mengi ya kuolewa umenitafutia bwana?Hivi mtani umeolewa?
AaahaaaaLigi ya wanaume tena wababe,sio kule kwa wacheza rede.
AaahaaaaRede mchanganyiko na mdako
Kei inaishaje sasa wakati haina makomboNambie keishaa...
Wacheza rede sioLigi ya wanaume tena wababe,sio kule kwa wacheza rede.
Haya sasa 😀Wakiambiwa kuwa wamekutana madobi wengine wanafuanwengine wanaanika hawaelewi...wanakaza mishipa ya shingo
Sidhani kama ut
Mbona ameeleweka vizuri kabisaSidhani kama uto watakuelewaView attachment 2576453
meeleweka vyema kabisa
Wapo macho mbonaHapa watapita kimya kimya tu utafikiri hawapo kumbe wamejaa tele!