Kambaku
JF-Expert Member
- Nov 12, 2011
- 8,332
- 31,306
Naunga mkono kabisa comment yako hii. Kwa kweli wanawake wanakwenda kucheza shirikisho. Tuache wanaume wacheze klabu bingwaLigi ya wanaume tena wababe,sio kule kwa wacheza rede.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono kabisa comment yako hii. Kwa kweli wanawake wanakwenda kucheza shirikisho. Tuache wanaume wacheze klabu bingwaLigi ya wanaume tena wababe,sio kule kwa wacheza rede.
Haya na nyinyi kachezeni REDE na Mdako, unalilia CHOONI Muda huuLigi ya wanaume tena wababe,sio kule kwa wacheza rede.
Sasa Muda wenu wa kucheza REDE na MdakoRede mchanganyiko na mdako
Watamfukuza Mgunda SOON nawaona hawatabiriki hawa SOON Matola aanze kupasha misuli wataanza na fogisu fogisu za kumtimuaKombe la looser
Haya mabindi kachezeni Shirikishoiyo ndo michezo ya mabinti.
Au SIO Madadadadake",FAMASIALA NINI"
Sasa imekua Kilabu NDOGO au SIO mnagombea mpaka NAFASI ya Tatu mnaipata kwa MbindeNa hii ndio maana halisi ya club kubwa lazima itokee kwenye takwimu kubwa
HAPO Makolo hawawezi kukuelewa kabisaSidhani kama uto watakuelewaView attachment 2576453
Haya sawa Wajane mkacheze sasa na Kombe mtalitaka muwe mabingwa wa Kombe la Wajane baada kugombea NAFASI ya 3 na kuipata kwa Mbindekombe la wajane
Hawajui wanataka nini. So sadWatamfukuza Mgunda SOON nawaona hawatabiriki hawa SOON Matola aanze kupasha misuli wataanza na fogisu fogisu za kumtimua
Nizamu ya Simba Sc kucheza rede....Ligi ya wanaume tena wababe,sio kule kwa wacheza rede.
Au SIOBila kusahau kombolela
Mangungu na Try Again au SIO?aezi elewa,kule wenye akili na kuelewa ni wawili tu.
MAKOLO wizard watapita kimya kimya kweli km hawapo Kalpana Scars na Mwasibu wa JF OKW BOBAN SUNZUHapa watapita kimya kimya tu utafikiri hawapo kumbe wamejaa tele!
Au SIO sasa hivi unalia ukiwa Wapi CHOONI?Mi naombea Yanga itoke, simba isonge, ikiwa vinginevyo tutataniwa sana, na itaonekana yule Zeruzeru ndo mwenye makombe
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
KIKO Wapi? Jana kapiga Hattrick viipi unalia ukiwa Wapi CHOONI?Mivitu ya LOSERS CUPView attachment 2576494
Mnaaga bado kuisafirishaKama wanaaga maiti......
Haya sawa KIKO Wapi? Anza kuficha Sura Kombe la Kilabu Bingwa ni la Yanga kuanzia leoTumeanza kuongea kwa lugha.
Yaani ikitokea Utopolo wakabeba ilo kombe sijui sura zetu tutazifichia wapi!!!!