Na hii ndio tofauti ya klabu bingwa na kombe la shirikisho

Na hii ndio tofauti ya klabu bingwa na kombe la shirikisho

Yaani ni vurugu tu, mara wacheze uchi mara walishane keki ni uzumbukuku mtindo mmoja.....

Kweli unaingia ktk mashindano ya kiume CL theni unabana pua BYUTI BYUTI dah......

Utopolo ni sawa na afande rama wa kule[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
Safi sana
 
Hapa ndo tujifunze kuwa maisha hayana kanuni huwa yanabadilika muda wowote . Usimzarau mtu kwa kuwa hujui kesho Yako na wewe itakuaje.. Mungu anakuonyesha kwa vitendo ili ukumbuke kuwa anayetoa riziki ni yeye na si midomo au nguvu yetu sisi na majigambo hewa. Simba shirikisho yanga club bingwa.
 
Hapa ndo tujifunze kuwa maisha hayana kanuni huwa yanabadilika muda wowote . Usimzarau mtu kwa kuwa hujui kesho Yako na wewe itakuaje.. Mungu anakuonyesha kwa vitendo ili ukumbuke kuwa anayetoa riziki ni yeye na si midomo au nguvu yetu sisi na majigambo hewa. Simba shirikisho yanga club bingwa.
Maisha ni gwaride mara nyuma geuka wa mbele kawa wa nyuma😂😂
 
Back
Top Bottom