Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatimae Simba nae anacheza michezo ya mabinti.iyo ndo michezo ya mabinti.
Umbeya HAUNA poshoTuendelee na uzi? Au tuuache?
Kama kawaida mwasibu kwenye one and twoRede mchanganyiko na mdako
😂😂😂Hatimae Simba nae anacheza michezo ya mabinti.
Safari hii litakua battle la MADOBI.Wakiambiwa kuwa wamekutana madobi wengine wanafuanwengine wanaanika hawaelewi...wanakaza mishipa ya shingo
Au sio????? Shirikisho ni kombe la wakina MamaLigi ya wanaume tena wababe,sio kule kwa wacheza rede.
Safi sana,ngoja tuone chupi lako lilivyotoboka kwenye rede mixer mdakoRede mchanganyiko na mdako
Na Binti mwenyewe ni Koloizdadiyo ndo michezo ya mabinti.
Au sioooooWakiambiwa kuwa wamekutana madobi wengine wanafuanwengine wanaanika hawaelewi...wanakaza mishipa ya shingo
Safi sanaYaani ni vurugu tu, mara wacheze uchi mara walishane keki ni uzumbukuku mtindo mmoja.....
Kweli unaingia ktk mashindano ya kiume CL theni unabana pua BYUTI BYUTI dah......
Utopolo ni sawa na afande rama wa kule[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
Naona ulijimaliza Hanifamara Mwajuma chupi kubwa.
Pole mjanekombe la wajane
Ngungus Boy na Jaribu Tenaaezi elewa,kule wenye akili na kuelewa ni wawili tu.
Maisha ni gwaride mara nyuma geuka wa mbele kawa wa nyuma😂😂Hapa ndo tujifunze kuwa maisha hayana kanuni huwa yanabadilika muda wowote . Usimzarau mtu kwa kuwa hujui kesho Yako na wewe itakuaje.. Mungu anakuonyesha kwa vitendo ili ukumbuke kuwa anayetoa riziki ni yeye na si midomo au nguvu yetu sisi na majigambo hewa. Simba shirikisho yanga club bingwa.