-Kwenye Top 10 ya vilabu bora Afrika, Ni timu moja tu (Pyramids) ndio ipo Shirikisho (CAFCC) huku Petro Atletico de Luanda wakiwa hawashiriki michuano ya CAF baada ya kutolewa hatua ya makundi.
Timu zingine 8 zote zipo Kombe la Mabingwa (CAFCL).
[emoji1093]Al Ahly - 𝗖𝗔𝗙𝗖𝗟
[emoji1173]Wydad AC - 𝗖𝗔𝗙𝗖𝗟
[emoji1249]Esperance - 𝗖𝗔𝗙𝗖𝗟
[emoji1173]Raja AC - 𝗖𝗔𝗙𝗖𝗟
[emoji1221]Mamelodi Sundowns - 𝗖𝗔𝗙𝗖𝗟
[emoji1026]CR Belouizdad - 𝗖𝗔𝗙𝗖𝗟
[emoji1241]Simba - 𝗖𝗔𝗙𝗖𝗟
[emoji1029]Petro Atletico [emoji777]
[emoji1026]Js Kabyle - 𝗖𝗔𝗙𝗖𝗟
[emoji1093]Pyramids - ℂ𝔸𝔽ℂℂ
Katika timu 8 zilizoingia hatua ya robo fainali ya CAFCL ni timu mbili tu ndizo zinatoka timu zenye watu wengi weusi
Mamelodi Sundowns - South Africa
Simba Sc - Tanzania.
Timu zingine zote 6 zinatoka Kaskazini (Waarabu)
Al Ahly - Misri
Wydad AC - Morocco
Esperance - Tunisia
Raja AC - Morocco
CR Belouizdad - Algeria
Js Kabyle - Algeria