[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unajiita Malaya wakati hujawahi iba Mume wa mtu..wajiita Malaya hujawahi vunja ndoa ya mtu...wajiita Malaya huna kitanda Wala dressingtable..
Mimi ndiyo mc kidawa a.k.a ndimu mkata shombo kiboko ya waazima mawig...[emoji23][emoji23]...nabaki heeh! Mambo yenyewe ndiyo yalivyo[emoji848]
Wamekukumbusha kule kule naona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila Sherehe za uswazi zinafana sana..
Lazima ubaki na kumbukumbu..
Za masaki MC anarudia zaidi ya mara nne kuwaambia watu waelekee kwenye chakula..
Watu wako busy na simu..
Kila mtu anajiona 'somebody'..
Pozi nyingi ..za uswazi aliezifumania beer utamjua tu..
Karibumimi sio mpenzi wa masharehe ngoja nisome comments
HehehehIla Sherehe za uswazi zinafana sana..
Lazima ubaki na kumbukumbu..
Za masaki MC anarudia zaidi ya mara nne kuwaambia watu waelekee kwenye chakula..
Watu wako busy na simu..
Kila mtu anajiona 'somebody'..
Pozi nyingi ..za uswazi aliezifumania beer utamjua tu..
Wapi?Wamekukumbusha kule kule naona
Hivi unadhani kwanini ile sinema ya KIGODORO iliuza sana huko ushuani..!? Jibu simple, wanayatamani maisha ya uswahilini kwetuMANENO YA ma MC KWENYE HARUSI ZA Masaki,Oysterbay,Upanga na Mikocheni
>Karibuni wageni waalikwa kuna cocktails ipo pale kwa ajili yenu
>Mwenye gari namba DTA142 amepaki vibaya gari yake inaziba njia.
>Kamati ya chakula mjiandae
>Kwa heshima na taadhima naomba maharusi wetu msogee hightable.
MANENO YA ma MC KWENYE HARUSI ZA Bonyokwa,Manzese,Mbagala,Keko na Buza.
>Mlizani haolewi na sasa kaolewa wenye visokolokwinyo mtakufa kwa vijaba vya roho[emoji3].
>Asiyetunza mchawi.
>Asiye na mwana,aeleke jiwe Bibi weweee[emoji23].
>Nyie mnaocheza karibu na waya ondokeni hapo msije mkazima muziki.
>Jamani msimrudie chakula mara mbili kuna wenzenu hawajala[emoji23]
Ongezea na yako!
[emoji1787][emoji1787]kwenye sherehe waosubiria lift wanacheza karibu na mlago na mwenye gari hata alienda maliwato anatoka nje kusubiria hasa wa BUZA kwa mpalange
Kaka bhana.MC wa Masaki: Wahudumu hakikisheni meza haikai bila kinywaji.
MC wa Mbagala nk: Wahudumu sitisheni kugawa vinywaji mpaka tutakapokula.
Nimehisi kwenye shughuli zako za catering umeona vituko vya kutosha za harusi za kishua na za uswaziWapi?
Nina uzoefu mno.Nimehisi kwenye shughuli zako za catering umeona vituko vya kutosha za harusi za kishua na za uswazi
Mama yoyooooooh weee nakufa mwenzio hukuuuuh khaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unajiita Malaya wakati hujawahi iba Mume wa mtu..wajiita Malaya hujawahi vunja ndoa ya mtu...wajiita Malaya huna kitanda Wala dressingtable..
Mimi ndiyo mc kidawa a.k.a ndimu mkata shombo kiboko ya waazima mawig...[emoji23][emoji23]...nabaki heeh! Mambo yenyewe ndiyo yalivyo[emoji848]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] sina mbavu uwiiiiiiihMC wa Masaki: Wahudumu hakikisheni meza haikai bila kinywaji.
MC wa Mbagala nk: Wahudumu sitisheni kugawa vinywaji mpaka tutakapokula.
Daaah!! Umenchekesha saana mkuu. [emoji1787][emoji1787]MC wa Masaki: Wahudumu hakikisheni meza haikai bila kinywaji.
MC wa Mbagala nk: Wahudumu sitisheni kugawa vinywaji mpaka tutakapokula.