Na hii ndio tofauti ya ma MC wa uswazi na wa ushuani

Na hii ndio tofauti ya ma MC wa uswazi na wa ushuani

Unajiita Malaya wakati hujawahi iba Mume wa mtu..wajiita Malaya hujawahi vunja ndoa ya mtu...wajiita Malaya huna kitanda Wala dressingtable..

Mimi ndiyo mc kidawa a.k.a ndimu mkata shombo kiboko ya waazima mawig...[emoji23][emoji23]...nabaki heeh! Mambo yenyewe ndiyo yalivyo[emoji848]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ila Sherehe za uswazi zinafana sana..
Lazima ubaki na kumbukumbu..


Za masaki MC anarudia zaidi ya mara nne kuwaambia watu waelekee kwenye chakula..
Watu wako busy na simu..
Kila mtu anajiona 'somebody'..
Pozi nyingi ..za uswazi aliezifumania beer utamjua tu..
 
Ila Sherehe za uswazi zinafana sana..
Lazima ubaki na kumbukumbu..


Za masaki MC anarudia zaidi ya mara nne kuwaambia watu waelekee kwenye chakula..
Watu wako busy na simu..
Kila mtu anajiona 'somebody'..
Pozi nyingi ..za uswazi aliezifumania beer utamjua tu..

Sherehe za uswazi ukifanya ukaguzi hukosi bia chini ya meza kadhaa.
 
Ila Sherehe za uswazi zinafana sana..
Lazima ubaki na kumbukumbu..


Za masaki MC anarudia zaidi ya mara nne kuwaambia watu waelekee kwenye chakula..
Watu wako busy na simu..
Kila mtu anajiona 'somebody'..
Pozi nyingi ..za uswazi aliezifumania beer utamjua tu..
Heheheh
 
MANENO YA ma MC KWENYE HARUSI ZA Masaki,Oysterbay,Upanga na Mikocheni

>Karibuni wageni waalikwa kuna cocktails ipo pale kwa ajili yenu

>Mwenye gari namba DTA142 amepaki vibaya gari yake inaziba njia.

>Kamati ya chakula mjiandae

>Kwa heshima na taadhima naomba maharusi wetu msogee hightable.

MANENO YA ma MC KWENYE HARUSI ZA Bonyokwa,Manzese,Mbagala,Keko na Buza.

>Mlizani haolewi na sasa kaolewa wenye visokolokwinyo mtakufa kwa vijaba vya roho[emoji3].

>Asiyetunza mchawi.

>Asiye na mwana,aeleke jiwe Bibi weweee[emoji23].

>Nyie mnaocheza karibu na waya ondokeni hapo msije mkazima muziki.

>Jamani msimrudie chakula mara mbili kuna wenzenu hawajala[emoji23]

Ongezea na yako!
Hivi unadhani kwanini ile sinema ya KIGODORO iliuza sana huko ushuani..!? Jibu simple, wanayatamani maisha ya uswahilini kwetu

Ile mihogo na visamaki pale koko beach vya nini!? Unadhani nani wananunua pale..!!? Tena vinauzwa kiswahili kwelikweli... kuna mtu anatoka Mbagala kwenda kununua vile visamaki na mihogo pale..!!?? Jibu hapana... na vipo pale ili wa ushuani waonje maisha ya uswahilini... na wanayapenda haswa

MAISHA YA USHUWANI HATUYATAKI USWAHILI KWETU... ndo maana huwezi kuta BAGA inauzwa mbagala... ila masalo kuuzwa koko beach ni sawa na utayakuta yana ndimu za kutosha... AHAHAHAHAA
 
Ndoa ni kumbukumbu safi sana katika maisha ila nahisi sasa kuna watu hawaangalii video za sherehe za harusi zao sababu ya choice ya MC wa harusi.
Kuna jamaa yangu alimpa shavu DrKumbuka katika harusi yake sasa hivi anaichukia hata kuiona video ya sherehe kwa vitimbwi vya huyo MC vinavyoendelea huko mitandaoni.
 
Mungu wangu weeeeh nimecheka hadi machozi khaaaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unajiita Malaya wakati hujawahi iba Mume wa mtu..wajiita Malaya hujawahi vunja ndoa ya mtu...wajiita Malaya huna kitanda Wala dressingtable..

Mimi ndiyo mc kidawa a.k.a ndimu mkata shombo kiboko ya waazima mawig...[emoji23][emoji23]...nabaki heeh! Mambo yenyewe ndiyo yalivyo[emoji848]
Mama yoyooooooh weee nakufa mwenzio hukuuuuh khaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
MC wa Masaki: Wahudumu hakikisheni meza haikai bila kinywaji.

MC wa Mbagala nk: Wahudumu sitisheni kugawa vinywaji mpaka tutakapokula.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] sina mbavu uwiiiiiiih
 
Back
Top Bottom