Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana mteja wao, ajali kazini, vipi wewe huogopi mpaka unawatembelea?Pamoja na wimbi la changamoto ya upumuaji bado wafanya biashara pendwa wapo bize Kama vile hakuna kinachoendelea?
Hao wanatumika hata kwa wenye ndoa zao thabiti kabisa. Ni sawa na bia. Ya nyumbani haina raha kama ya bar ingawa bei na ladha ni zile zile. Kinacho mater ni mahali unapoigongea mkuuu.Weka ka picha kidogo mkuu tuone wanavyofanya biashara
Hahhaaa Tatizo ni mindset.Biashara ya uraibu ni hatari sana...
Mtu akishaathiriwa na kupendapenda hayo masuala bila kuamsha akili yake kwa nguvu kubwa huwa kama mwehu.
Kuna watu bila kufanya au kufanywa hawalali.
Kwahiyo unataka kusema haufahamu uviko-19 unavyoenezwa?Kwani corona ni STD?
Wanasubiria tamkoPamoja na wimbi la changamoto ya upumuaji bado wafanya biashara pendwa wapo bize Kama vile hakuna kinachoendelea? Wateja nao Kama vile hakuna mbadala ndugu zangu. Utabanwa mbavu ufe mapema
Nafahamu ila sasa sijajua inahusiana vipi na machangudoaKwahiyo unataka kusema kufahamu uviko-19 unavyoenezwa?
Nahisi aliandika machangudoa ila ulimaanisha wote wanaoshiriki hiyo biashara. Neno changudoa linaegemea sana kwa wanawake, ila umalaya angalau linagusa jinsia zote.Nafahamu ila sasa sijajua inahusiana vipi na machangudoa