Na Korona hii bado Machangudoa hamuogopi?

Na Korona hii bado Machangudoa hamuogopi?

Weka ka picha kidogo mkuu tuone wanavyofanya biashara
Hao wanatumika hata kwa wenye ndoa zao thabiti kabisa. Ni sawa na bia. Ya nyumbani haina raha kama ya bar ingawa bei na ladha ni zile zile. Kinacho mater ni mahali unapoigongea mkuuu.
tapatalk_1615036894885.jpeg
 
Back
Top Bottom