Waeleze....yaani ukishakuwa addicted na papuchi basi wee mpaka upate ile raha ndio mambo yapo safi.Biashara ya uraibu ni hatari sana...
Mtu akishaathiriwa na kupendapenda hayo masuala bila kuamsha akili yake kwa nguvu kubwa huwa kama mwehu.
Kuna watu bila kufanya au kufanywa hawalali.