Na Korona hii bado Machangudoa hamuogopi?

Na Korona hii bado Machangudoa hamuogopi?

Umalaya ni biashara ya kiroho kumbuka roho hukutana katika namna ya pekee sana wakati wa kufanya kale kamchezo, ni nguvu halisi ya kiroho.

Biashara yenye nguvu katika ulimwengu wa roho ni hatari sana. Fuatilia watu wanaoangalia ponography na watu wanaongalia mahubiri ya imani, cheki idadi na trend yao.
 
Mtu anapofanya biashara ya umalaya hana tofauti na mtu anayeuza nafsi yake.
 
Pamoja na wimbi la changamoto ya upumuaji bado wafanya biashara pendwa wapo bize Kama vile hakuna kinachoendelea? Wateja nao Kama vile hakuna mbadala ndugu zangu. Utabanwa mbavu ufe mapema.
We unataka uishi milele
 
Mtu anapofanya biashara ya umalaya hana tofauti na mtu anayouza nafsi yake.
Ila hata wanaume wanaobadili wanawake kila kukicha nao wako mule mule. Tofauti ni kwamba tu hawasimami barabarani, likewise kwa wanawake wanaobadili wanaume kila kukicha nao ni machangudoa.
 
Ila hata wanaume wanaobadili wanawake kila kukicha nao wako mule mule. Tofauti ni kwamba tu hawasimami barabarani, likewise kwa wanawake wanaobadili wanaume kila kukicha nao ni machangudoa.
Ooh my gosh, hii interraction ipo controversial sana[emoji849][emoji849]
 
Ila hata wanaume wanaobadili wanawake kila kukicha nao wako mule mule. Tofauti ni kwamba tu hawasimami barabarani, likewise kwa wanawake wanaobadili wanaume kila kukicha nao ni machangudoa.
Kweli wapo na mapunga wanapenda ule mchezo wa sodoma na gomora nao ni walewale kweli.
 
Wale nini sasa, Mbona tunapanda madaladala nao, sokoni nao, Cha msingi wavae mask wakiwa kazini
 
Back
Top Bottom