Waeleze....yaani ukishakuwa addicted na papuchi basi wee mpaka upate ile raha ndio mambo yapo safi.Biashara ya uraibu ni hatari sana...
Mtu akishaathiriwa na kupendapenda hayo masuala bila kuamsha akili yake kwa nguvu kubwa huwa kama mwehu.
Kuna watu bila kufanya au kufanywa hawalali.
Mboka buku yako unaponaWapi huko machangu wapo twende tupe na bei zao
na tabata, kila baada ya nyumba moja lodge
Rudisha avatar picha yako tuliyokuzoea ya mswahili kava kanzu koti na kibaragashia
Bora umwambie, watu walikula utamu hata enzi zile za ugonjwa wa TauniHile biashara ni kongwe duniani haitakaa isimame kwa chochote
Hiyo biashara ni kiboko,hata vitani ipo,Sasa ndiyo itakosekana kwenye Kavita kadogo ka Corona!!Pamoja na wimbi la changamoto ya upumuaji bado wafanyabiashara pendwa wapo bize Kama vile hakuna kinachoendelea? Wateja nao Kama vile hakuna mbadala ndugu zangu. Utabanwa mbavu ufe mapema.
Pamoja na wimbi la changamoto ya upumuaji bado wafanyabiashara pendwa wapo bize Kama vile hakuna kinachoendelea? Wateja nao Kama vile hakuna mbadala ndugu zangu. Utabanwa mbavu ufe mapema.
Kwani corona ni STD?
Hapo nimekuelewa, basi me nilifikiria mbali zaidi... My badLenie si mnakuwa zero distance hivyo tayari mmeshakiuka sharti moja la corona, SOCIAL DISTANCING.
Chuma mboga ndo mpangoLenie si mnakuwa zero distance hivyo tayari mmeshakiuka sharti moja la corona, SOCIAL DISTANCING.
Dah hata kapicha Cha bidhaaPamoja na wimbi la changamoto ya upumuaji bado wafanyabiashara pendwa wapo bize Kama vile hakuna kinachoendelea? Wateja nao Kama vile hakuna mbadala ndugu zangu. Utabanwa mbavu ufe mapema.
Chuma mboga ndo mpango