Na kule Madagascar, dawa hii anagawa Rais mwenyewe

Na kule Madagascar, dawa hii anagawa Rais mwenyewe

Mapank

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2011
Posts
4,130
Reaction score
6,097
1664967266460.png
 
Wanadamu hawanaga jema.

MUNGU aliwaletea manabaii wakawapiga mawe na kuwauwa

MUNGU akamleta hadi mwanaye kimpenzi , but haikusaidia wakamtundika msalabani

Asa hv najua kwa nn MUNGU aliumba jehanamu na kwa nini hamlazimishi mtu kumsikiliza
 
Dah [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Ila hii nchi ilipitia mengi walahi ,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Msukule toka jalalani inatakiwa afunguliwe mashitaka ya ulaghai na uhujumu uchumi ,Kabudi profesa majalala ni tapeli na mnafiki mmoja hatari Sana ,hili genge la hawa pimbi Kabudi , Mwigulu ,Bashiru ,Polepole na ni hatari Sana
 
Huyu pamoja na babu wa loliondo wanapaswa kufunguliwa kesi nzito warudishe mamilioni waliyopewa pamoja na kulipa fidia ya gharama walizowasababisha watu. Vinginevyo watajitokeza wengine na utapeli kama huu.
 
Back
Top Bottom