hilo ndo kosa lako kubwa, utawekaje kota pini wakati ukubwa wako ni 2.5 inches??????
Abeeeeee jmn huu umbea huu kama vile nimeitwa au ww Lady doctor umeniita?
hilo ndo kosa lako kubwa, utawekaje kota pini wakati ukubwa wako ni 2.5 inches??????
sijakuita...... Labda umejileta nikusute bila sababu!!!!!! Ngoja nikakodi matarumbeta na MC wa misuto!!!
Mhh Lady doctor.. unamaanisha urefu au upana..?
Aiseee ndukiiii nene...........! Sijajiandaa kusutwa mie
Thubutuuuu.. Yangu ni 9x12 inches lol.. Muulize Paloma atakuambia..
Paloma hebu ukuje hapa umuambie huyu unapambanaga na nini kunako 6x6.. Au muulize Passion Lady..aaaaah wapi!!!!!!!! Labda huo urefu umeupima kuanzia kwenye kitovu teh... Teh.....!!!!!!!
Paloma hebu ukuje hapa umuambie huyu unapambanaga na nini kunako 6x6.. Au muulize Passion Lady..
utatumia mkwaju gani? mkwaju artificial or natural?
Ntajua hapo hapo......
mie paloma aliniambiaga anapambanaga na kunguni na passion lady ye hupambana na mende chini ya uvungu wa kitanda chake chake cha sita kwa sita...... Kwani we huwasaidiagi kwenye mapambano???
he he he bwana ucntie aibu hivo utavikuta ukumbini.
hapo hapo ndio wapi?