ntajitahidi
utanruhusu kuandamana?
Maana unatafuta mwanamme jf?? Unajuaje uaminifu wake ? Utamchunguzaje? Unavigezo gani vinavyo kuongoza kumpata alie bora? Na je wewe unavifikia hivyo vigezo? Haya nakutia moyo endelea but its not safe at all if unamaanisha kweli unataka kuolewa.