Na mimi nimpate mtoto mzuri humu kama wenzangu

Na mimi nimpate mtoto mzuri humu kama wenzangu

Guru Guja

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
217
Reaction score
285
Hoyaaa masera....mimi sio mgeni sana humu ndani.Ila nimemuona jamaa yangu amepata mtoto mzuri toka jamiiforum.Nikashangaa kumbe yale mambo watu wanasemaga ni kweli kuwa kuna mademu mazuri humu.

Naomba sana sana nami nipate mke toka humu ndani.Mimi ni msomi mzuri tu wa elimu ya juu kabisa.pia ni mfanya biashara wa maduka kariakoo.Ila sina mke.

Nataka nipate mke msomi mzuri kama mimi.awe angalau amemaliza cheti, digrii au diploma ya kitu fulani au hata Phd si mbaya.

Tufanye maisha pamoja maana sametime nakosa mtu wa kunishauri vizuri. Jamaa yangu wa duka la pembeni ameniambia kuwa amepata demu humu ndani na anataka kumuoa. Mimi pia nataka hivuo hivyo

Awe demu siriasi jamani.Nashukuruni sana...na mnipokee kijana mwenzenu nisijisikie peke yangu humu ndani.

Napenda kujirusha hasa hasa weakend na siku za mapumziko.mambool yasiwe mengi tuko pamoja masela ngoja mi nisepe kwenye huu uzi . Ila siendi mbali nipo araoundi nasubilia michango yenu.

Thank you soo much.
 
Si mugeni nina muda murefu humu dani lakini reo nimamua kuungana.sio mugeni sana.sina mafua.nipo boa kabisaaa.siumii chochote

Kikwetu guruguja ni sawa na jitu la kutisha tisha watoto kwa mafua hayo umeze cetrizine halaf unaonekana kama member mkongwe kwenye kivuli cha id mpya
 
Good ni jabo zuli.tupeane contract za simu plizi.nashkulu kwa kukubari kuwa my friend wangu sister.asante saaana.mimi naishi apa apa dar kenye apantment za ilala apo.sio bali kalibu tufahamiane kama malafiki na goodriends.

nyumbani kwetu
 
Bona matusi?mi nimekutukana wapi?wapi?nakuliza wewe?wapi?acha izo bana eshima bele.atufaamiane usidhani wote ninmafala tu.

Mnawapa kazi wahariri ya kumoderate mapupu...Utakuta ni mtu mzima na akili zake lakini analeta futuhi zake hapa.
 
Heshima bele blaza. Bona misija kutukana popopoote?humu dani wapo watu wasitaalabu wegi tu.mi sikuja kwa shali hata kidogo.pliizi. sijawona kosa lololote paka useme ivo.
Pigia mstari sehemu uliyoona tusi! Acha kuandika kimchele mchele jifunze kwanza kuandika kiswahili kisha ucheze kombolela na mabinti wa rika lako la kivulana ndipo upevuke tukutafutie demu...umebalehe lini kwani?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sio poa aisee.
Jamaa nahisi si mtizedi ila ni wa nchi jirani maana nimetest lafudhi zote lakini naona hazikai

Post yake nyingine hiyo, kaandika kawaida.
 
Mmmmmh....comon again.sijakueleww bona tena ivi


😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nini kujitia uchizi sio wako jamani
 
Back
Top Bottom