Pigia mstari sehemu uliyoona tusi! Acha kuandika kimchele mchele jifunze kwanza kuandika kiswahili kisha ucheze kombolela na mabinti wa rika lako la kivulana ndipo upevuke tukutafutie demu...umebalehe lini kwani?
Acha uboya chalii huwa wanaume hatutongozi hivi...na ukija kichwa kichwa unaweza kuta unampanga mama yako mzazi bila kujua..tulia ukue,ukatike utepe!πππππππππππππππππππππππ nini kujitia uchizi sio wako jamani
We Endelea tu.Bona matusi?mi nimekutukana wapi?wapi?nakuliza wewe?wapi?acha izo bana eshima bele.atufaamiane usidhani wote ninmafala tu.
Tena muheshimiwa kabisaMnawapa kazi wahariri ya kumoderate mapupu...Utakuta ni mtu mzima na akili zake lakini analeta futuhi zake hapa.
Acha uboya chalii huwa wanaume hatutongozi hivi...na ukija kichwa kichwa unaweza kuta unampanga mama yako mzazi bila kujua..tulia ukue,ukatike utepe!
Oyaa! Nimekuja kuwashika kinyamaa
Mambo vipi masela na wazee wa kale? Mimi sio mgeni humu ndani. Nimekuwa nafuatiliaga sana nyuzi za watu mbalimbali, leo nimekuja kuwapa chagamoto na elimu juu ya mambo balibali ya maisha. Kifupi mimi ni msomi wa chuo kikuu nina maisha yangu mazuri tu. Napenda kuwapa vijana elimu juu ya mambo...www.jamiiforums.com
Post yake nyingine hiyo, kaandika kawaida.
SORRY SORRY ndugu nilikuwa nam quote huyu mvulana kwenye post uliyomquote! Ila technically umenielewa..haijambo family mkuu?Duh umenikwot wrong mkuu
Kumbe hili isembo linatupima imani eeeh...na masikini utakuta baba yake kauza ng'ombe kupeleka hii ng'ombe nyingine shulehujasoma balibali hiyo... wageni wengi hata wakifake utized kuna maneno huwa yanawapita kushoto mfano hilo huwashinda sana wakenya
haijambo mkuu usijali hataSORRY SORRY ndugu nilikuwa nam quote huyu mvulana kwenye post uliyomquote! Ila technically umenielewa..haijambo family mkuu?
[emoji16] [emoji16] [emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sio poa aisee.
Jamaa nahisi si mtizedi ila ni wa nchi jirani maana nimetest lafudhi zote lakini naona hazikai
Wakongwe mmepotea hadi nikadhani mmebebwa na huu upepo wa Kisulisuli (kwa sauti ya mama Lyakatare)haijambo mkuu usijali hata
hujasoma balibali hiyo... wageni wengi hata wakifake utized kuna maneno huwa yanawapita kushoto mfano hilo huwashinda sana wakenya
Kumbe hili isembo linatupima imani eeeh...na masikini utakuta baba yake kauza ng'ombe kupeleka hii ng'ombe nyingine shule
Rudi juu ukajibu kashfa kwanini bandiko lingine umeandika kiufasaha ila hapa unaandika kimchelemchele ama uko sokoni?Mugu akubaliki sana.duniyani tunapita tu.hakuna mutu atabakiya.asante sana ndugu yangu.ubalikiwe sana na matusi yako