Na mimi nimpate mtoto mzuri humu kama wenzangu

Kwa uandishi Huo??? Uuuuuuuuuu chafya mwenye codril anisaidie!!!
 
Namimi nataka yani mchuchu kama wewe yani au sio dugu lagu
 
Yan kuanza na kuanza Usha zingua tayari.. Hamnaga Masera ni Masela
 
Kwa huu mwandiko sidhani kama utapata demu jf.
Nakushauri nenda fb kule.
 
Si mugeni nina muda murefu humu dani lakini reo nimamua kuungana.sio mugeni sana.sina mafua.nipo boa kabisaaa.siumii chochote
We utakuwa viatu vya samaki, sijui hivi karibuni ulikuwa unatumia jina gan, nimesahau.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mkongwe ni kuanzia muda gani kuwa humu jamani?? Nipo bana majukum yanabana tu muda mwengine naishia kusoma kimya kimya
lara 1 sijui kama yupo tena..inshallah kama yupo hai Alhamdulillah ila kama amesha pass away basi apate pumziko la heri..kuna watu uwepo wao humu ulikuwa unatuchonganisha na kila kitu..kwa kua maneno yanaishi wakaija na kusoma wajue somewhere,someone,somehow wanakuwa missed alot!
 
atakua mzima kwa uwezo wa Allah bana angekua amefariki taarifa tungeziona sababu nina iman kuna watu watakua wanafahamiana naye nje ya jf, ni kweli mkuu kumekucha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…