Na nyie wanaume/kaka zangu zingatieni mambo haya ya unadhifu

Na vile umesema huyo jamaa ni mume wa mtu basi to make it simple, Jua there is something wrong with His wife too[emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Then huyo jamaa umeshindwa kumwambia ukiwa umekaa nae Zero distance unakuja kutuambia sisi huku ili iweje, then unajinasib alivyokutania shemeji anafaid ulimpa makavu aisee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mambo hutufundishiki. Kuna watu hawajirekebishi bila kurekebishwa. Mbaya zaidi kuna mambo tunayaonea aibu kuyasemea hata kama yanaleta taabu. Mwanamme kunuka 'pumbu' kama unavyoliweka, hiyo ni 'extreme'. Kutokana na maumbile yalivyo, maana inamaanisha haogi kabisa. Akioga hakuna anayesahau kupitisha sabuni kwenye groin, labda awe ni kichaa. Sijui ilikuwaje ukasikia harufu kama hiyo, Labda alitoka kufanya sex za vichakani, bila kujisafisha. Hisia yangu, ulishamchukia tangu zamani na hapo ulikuwa unatafuta nyongeza ya hasira zako.

Hebu tuwatukane wenzetu kwa mambo ya ukweli.
 
Nimekuelewa

Unapenda romance = kinywa kiwe fresh
Unapenda sucking = Pumbu ziwe neat and clean
Unapenda kichezewe = Kucha ziwe short and soft
Unapenda kuchezea = Miguu iwe safi inukie

Uko vizuri saana unafaa kwa matumizi
 
kachambe kwanza......mwenyewe unanuka kikwapa tumekuchunia tuu....nyani haoni ku........e...
 
ma mshuza hujibugi comment,unatumaga tuu thread,njoo uku!
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nakosa muda rafiki yangu....huo muda wa kusoma comments sina leo ndo nikasema nione comment ya mwisho naikuta yako... Wadau wanasemaje?mi nikishasema yangu sina neno na mtu tena.

ma mshuza hujibugi comment,unatumaga tuu thread,njoo uku!
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nakosa muda rafiki yangu....huo muda wa kusoma comments sina leo ndo nikasema nione comment ya mwisho naikuta yako... Wadau wanasemaje?mi nikishasema yangu sina neno na mtu tena.
mdau kama mimi napenda uwe una comment swahiba,! Usiwe una rushia tuu haifai,avatar noma io
 
PUMBU HAZIWEZI NUKA KAMWE KWA SABABU ZIFUATAZO;

ZINANING'NIA

HAZITOI MAJI MAJI HATA JOTO LIWEJE

NI LAINI

HAZINA UPENYO

NI MACHINE YA SHAHAWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…