Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwakweli kutuchanganyia mambo hivi sio vizuri maana tunakosa uelekeo jamani. Asitufanyie hivyo, leo tudeal tu na heading kwanza.
Umeniponza[emoji22][emoji22][emoji22]Utawekewa thread yako kabisa, maana hii haitatosha.
Watu na fani zao babaKuna thread anasema ameolewa, kuna thread anasema ukitaka kumtongoza uwe unajua kiingereza, kuna thread anawaponda wanawake wa sasa.
She is very inconsistent. Angeamua kusimamia sehemu moja labda tungemwelewa.
Jamaa[emoji3][emoji3][emoji3]
Mimi nilisema siku ile aliotunanga wauzaji kwamba ni dume kabisa hiliKuna thread anasema ameolewa, kuna thread anasema ukitaka kumtongoza uwe unajua kiingereza, kuna thread anawaponda wanawake wa sasa.
She is very inconsistent. Angeamua kusimamia sehemu moja labda tungemwelewa.
Aibu nimeona mimi🙈🙈🙈🙈[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tatizo vijana hamchangamki mama tangu alipoanza kuhangaika mnajikausha
Hivi imekuwaje ukapita kwenye hii thread!
Maana hadi nimeona aibu nilivyoona like yako.
Nendeni PM huko tangu day 1 anawaita kwa nini hamuelewi?
Hahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tatizo vijana hamchangamki mama tangu alipoanza kuhangaika mnajikausha
[emoji14][emoji14][emoji14][emoji14] endelea kuona hivyo hivyoAibu nimeona mimi[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
Khantwe unanichekesha dada 😀😀😀vijana hawaelewi somoNendeni PM huko tangu day 1 anawaita kwa nini hamuelewi?
[emoji3][emoji3][emoji3] mimi kwenye thread za huyu mbaba huwa napita tu kujipigia stori
Wanazubaa tu sijui wakoje hawa [emoji3][emoji3][emoji3]Khantwe unanichekesha dada [emoji3][emoji3][emoji3]vijana hawaelewi somo
Sijawahi kimchukulia seriousBasi mimi nilimchukulia serious ndo tatizo.