'Na pesa yetu' ATCL already making massive losses... CAG report

'Na pesa yetu' ATCL already making massive losses... CAG report

Sasa wewe mbona upo nyuma na wakati?, waulize au fuatilia mjadala wa Bunge. Magufuli amekua akiangaika sana kutafuta mikopo, kabla yake Tayari China Exim Bank walikubali kutoa $7.5, lakini Magufuli alipoingia madarakani alifuta kutokana na riba kubwa.

Alipokuja rais wa Uturiku, pia alimuomba mkopo, lakini yakawa ni yaleyale ya riba. Hadi sasa hakuna mkopo wowote tuliochukua, kama unabisha, onyesha ni lini tulitiliana saini wa kupewa huo mkopo, kwasababu lazima kuwe na utilianaji wa saini ambao unafanyika hadhari, hiyo pesa ni nyingi sana haiwezi kutolewa kimyakimya, kama mikopo ya $100M kuna kuwa na utiliaji saini mikataba hadharani, vipi pesa nyingi kiasi hiki iwe ni siri?,

Huu sio mkopo ?
IMG_4883.JPG
 
Unajua maana ya "secure" ,Hii Bank ilikua tayari kuikopesha Tanzania, kama ambavyo China ilikua tayari kutoa $7.5B. Onyesha lini huo mkataba ulitiawa saini, bila kutia saini maana yake hakuna pesa iliyotoka.

Kamuulize Ndungai bungeni
Si mnaficha kila kitu mpaka data
 
Hatari sana, huyu CAG sijui wa wapi jamaa na ujasiri wote huo, yaani jamani utadhani sio Mtanzania, amevuruga balaa, bunge lilijaribu kumzuia likashindikana.
Labda ana hofu ya allah!! Kila mchunga ataulizwa alichokichunga, kila kiongozi ataulizwa kwa nafasi yake.
 
If tz ex pres were abt to revive ATCL up to this time we might have more than 30 airplanes , slowly but sure,another dreamliner and bombadier q400 are coming to add our fleet size, We have a deal with China ,abt 10000 tourist Chinese will visit Tz this yr so we need a dreamliner for this

You need a reality check Mr. Tuusan.
 
Eti pesa zetu!
You can’t even fund the ailing educational system in this country, yet you claim to have the financial capability to fund capital infrastructure projects with “our own monies”.
Pathetic liars
 
Our education system is breeding incompetent graduates year in year out. We don’t need those national birds at the moment
Fix the education system which is already a disaster by biblical proportions
 
SoSasa kwani hapa unajadiliana na Ndugai, mtafuta mwenyewe ujadiliane naye. Jaribu kuficha ujinga wako, sio wote wajinga hapa JF.

Si mnaficha kila kitu
Hata report ya CAG na data za IMF hamzitaki.
So please check with your retarded speaker in the event you wanna know about the signed contract between Stanchart and the government
 
Si mnaficha kila kitu
Hata report ya CAG na data za IMF hamzitaki.
So please check with your retarded speaker in the event you wanna know about the signed contract between Stanchart and the government
Sasa kama huna ushahidi unabaki kupiga domo la vijiweni, am sorry Mimi sio the right person.
 
Sasa kama huna ushahidi unabaki kupiga domo la vijiweni, am sorry Mimi sio the right person.

You can’t even fund the construction of a decent school at the moment, yet you jumped like a drunkard sailor and recklessly spent the tax payers money to purchase those national birds without even a business plan in place!
Imagine a Dreamliner 787 flying to domestic and regional routes and sometimes ferrying mbuzi meat to Dubai
 
You are more than right, ATCL is economical a disaster. But this has been caused by the way it's managed, they political manage it instead of being managed professional.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatari sana, huyu CAG sijui wa wapi jamaa na ujasiri wote huo, yaani jamani utadhani sio Mtanzania, amevuruga balaa, bunge lilijaribu kumzuia likashindikana.
kaka iyo n kaz yake. Kazi yake nikukagua na kureveal ushuz wote toka day one
 
Back
Top Bottom