Mkikuyu- Akili timamu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,310
- 7,465
Endeleeni kujikuna vichwa..2020 Dirimulaina nyingine 😂😂😂😂Tumenunua...faida yetu....
Wajaluo wanapatikana Kenya, Tzedi na Uganda
Luhyas,Kenya and Uganda
Sikujua WAKIKUYU wapo Kenya na Tanzania. Mkikuyu from tz.
Kama kitu ni Mali yako umenunua kwa pesa yako, una Uhuru wa kukifanya vyovyote upendavyo. Tatizo ni pale kama sio chako umekodi, hata ukitaka kujamba ukiwa ndani, lazima uombe ruhusa.Cc.#39 naskia ilipakwa rangi ya nyumba. Acha itaanza kumomonyoka mpake tena [emoji38][emoji38]
CPI inaenda opposite where 0 is highly corrupt and 100 is Very clean kwahivyo umekosea hapo..........Unamjua yule Mhindi Seith, ambaye alikua huko Kenya kwa miaka mingi sana, serikali ya Kenya aliiweka mfukoni mwake, sasa hivi huu ni mwaka wa pili yupo mahabusu.
Any way, Corruption perception index
Tanzania 15%
Kenya. 85%
Hiyo inaonyesha ni jinsi gani tunavyofanikiwa ktk kupambana na rushwa, na ni jinsi gani mnavyozidiwa nguvu na mafisadi huko kwenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nunueni hata mia moja lakini mtabaki kuitamani Kenya milele. That's why mnajiita majina ya kikenya humu na rais wao kama avatarEndeleeni kujikuna vichwa..2020 Dirimulaina nyingine 😂😂😂😂
Hao hapoSeth, Rugemalila walilia upelelezi
Upande wa utetezi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mfanyabiashara, Herbinder Seth na mwenzake James Rugemalila wameutaka upande wa mashtaka kuharakisha upelelezi ili washtakiwa wajue hatimamobile.mwananchi.co.tz
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanabiashara kufungwa ni jambo la kawaida, Niliposema wakubwa nilikua namaanisha wakubwa Serekalini, yani akina CCM na vingozi wa serekali. Alafu hata hio taarifa ulioleta huyo mwanbiashara hajafungwa! Kesi ndo inaanza, for all we know anaweza achiliwa baada ya miezi kadhaaUnamjua yule Mhindi Seith, ambaye alikua huko Kenya kwa miaka mingi sana, serikali ya Kenya aliiweka mfukoni mwake, sasa hivi huu ni mwaka wa pili yupo mahabusu.
Any way, Corruption perception index
Tanzania 15%
Kenya. 85%
Hiyo inaonyesha ni jinsi gani tunavyofanikiwa ktk kupambana na rushwa, na ni jinsi gani mnavyozidiwa nguvu na mafisadi huko kwenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lako wewe umeamua kuwa mjinga, kwa hiyo hao wana CCM kazi yao ni kusafiri tu. Kwa taarifa yako, juzi kulikua na mawaziri wslionunuliwa ticket na wizara zao husika ili kuhudhuria sherehe za Uhuru Dodoma, Magufuli alipipata habari, alitoa AMRI wasiende, na hiyo pesa ya ticket irudishwe serikalini.
Kama mtu ameweza kuzuia deal la kupaka rangi ya ndege toka 300M, hadi 5M, ni mtu kichaa peke yake atakayeamini eti kuna waziri au mtu nwengine yoyote anayeweza kupanda hiyo ndege bure. Magufuli hoyeee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni kuonyesha kwamba hatuna mchezo na pesa ya serikali, sio huko kwenu watu wanabeba pesa kwenye magunia, na bado wanasiasa wanawatetea. Kwa Kenya kwasababu ufisadi upo kwenye damu yenu, kila kitu kwenu mtaona ni sawa tu ili mpate pesa.Hahaha. Hio nchi yenu sijui inaendeshwa aje.
Sasa ndege kupakwa rangi lazima hata rais aingilie?
Hayo yote ni populist moves. Kuwafurahisha tu.
Ukweli ni kwamba hio Tsh300 million ndio bei sahihi ya kupaka ndege rangi.
Rangi ya ndege sio rangi ya kawaida.
5million labda kupaka rangi choo.
Tanzania sio Kenya, wanasiasa huku kwetu sio wafanyabiashara, wala hawajihusishi na ujinga huo, wala sio matajiri kama kwenu.Wanabiashara kufungwa ni jambo la kawaida, Niliposema wakubwa nilikua namaanisha wakubwa Serekalini, yani akina CCM na vingozi wa serekali. Alafu hata hio taarifa ulioleta huyo mwanbiashara hajafungwa! Kesi ndo inaanza, for all we know anaweza achiliwa baada ya miezi kadhaa
Aha! Nimeipata official ripoti ya CAG , Kuanzia page 54Hahahahaha, mumeanza kuweweseka, poleni sana, mtaendelea kuweweseka sana, Tanzania inasonga mbele. Repoti ya CAG imesema hivi;
1) Kuanzia mwaka 2005 hadi 2017 ATCL ilipata hasara ya TSh 38B, hiki ni kipindi ambacho ATCL ilikua na ndege mbili chakavu, moja ilikuwa sio ya ATCL.
2)Katika kipindi cha kuanzia 2017 hadi 2018, ambacho ndio kipindi cha ukaguzi, sasa hivi ATCL hasara iliyobaki ni Tshs 16B, hii maana yake ni kwamba 48% ya deni limelipwa ndani ya kipindi cha mwaka mmoja wa hizo ndege mpya kuanza kufanya biashara.
3) Kwa hesabu za haraka, ndani ya kipindi cha mwaka mmoja na nusu, ndege za ATCL zimetengeneza zaidi ya Tshs.12B, ambazo zimelipa deni la nyuma, deni lililobaki ni 16B.
Hahahahaha, hahahahaha, hahahahaha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania ipo namba 99 na Kenya IPO 144 bado unasema tofauti ni kidogo?, Kenya njoni mjifunze mambo mengi hapa Tanzania, this country is a role model in this region.CPI inaenda opposite where 0 is highly corrupt and 100 is Very clean kwahivyo umekosea hapo..........
Alafu unajua kwanini inaitwa Corruption Perception Index????? Ni kwasababu inategemea perception ya mtu yani ukiwa na media kama ya Kenya ambayo haina uoga na hawanyamazi wanapoona ufisadi, wanabiashara wanakua na perception kwamba ufisadi umekithiri, Lakini nchi kama Tz media imelala kwahivyo wanabiasharai wako na perception kwamba hakuna ufisadi lakini hio haimaanishi kwamba hakuna ufisadi wa hali ya juu unaofanyika china ya maji....
The index, which ranks 180 countries and territories by their perceived levels of public sector corruption according to experts and businesspeople, uses a scale of 0 to 100, where 0 is highly corrupt and 100 is very clean. https://www.transparency.org/cpi2018
Kwa CPI Kenya iko nyuma ikiw na 27%
View attachment 1068746
Tanzania nayo iko na 36%
View attachment 1068748
Hio ni tofauti ndogo na si kama vile unataka kutudanganya eti 15% Vs 85%
Kwahivyo unachotaka kutuambia ni kwamba GoT na CCM nzimaa hua hakuna mtu anahusika na Ufisadi? right! keti hapo hapo na uendelee kuburudikaTanzania sio Kenya, wanasiasa huku kwetu sio wafanyabiashara, wala hawajihusishi na ujinga huo, wala sio matajiri kama kwenu.
This is a socialist country.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii sasa ni akili ya kitoto, Unaangalia nambari/position badala ya kuangalia score!!!!!!!! nchi ni 188 duniani bana, utakuta kuna nchi hamsini ziko na hio 27%...Tanzania ipo namba 99 na Kenya IPO 144 bado unasema tofauti ni kidogo?, Kenya njoni mjifunze mambo mengi hapa Tanzania, this country is a role model in this region.
Sent using Jamii Forums mobile app
Obsession with Tz mpaka una download majedwali ya CAG wao😆😆Aha! Nimeipata official ripoti ya CAG , Kuanzia page 54
Air Tanzania Company Limited (ATCL)
Air Tanzania Company Limited (ATCL) has been operating at
loss for the past 10 years consecutively from financial year
2006/7 to 2016/17 which has eroded shareholders’ equity to
negative balance. In the recent three years I started to note
some improvement in its operations as net operating loss has
decreased from TZS 38.72 billion in 2015/2016 to TZS 16.21
billion in 2016/2017, a decrease of TZS 22.51 billion equivalent
to 58%. The decrease in loss is mainly attributed to the
increase in total revenue from 2015/16 by 20% and decrease in
total cost by 27%.
Page 11
Deni ni tofauti na kupunguza loss, hapo unaona deni linazidi kuongezeka hadi 184B kutoka 166B! wakati loss ilipunguka kutoka 38B hadi 16B
View attachment 1068762
Haikunichukua hata dakika tatu, all I had to do is google "CAG Tanzania". Na nimeitafuta hio ripoti kwasababu unlike you guys, mimi hua si entertain kueneza uongo just to win some argument!Obsession with Tz mpaka una download majedwali ya CAG wao😆😆
Haya mzee...Hiyo inaitwa book value loss..Ukitaka kuona profit angalia Ndege ngapi Tz wamenunua kutumia pesa zao😂😂
Wewe una matatizo ya akili, huwezi kuelewa hisabu za kiuhasibu, ngoja tukufundishe " Just basic principles of book keeping"Aha! Nimeipata official ripoti ya CAG , Kuanzia page 54
Air Tanzania Company Limited (ATCL)
Air Tanzania Company Limited (ATCL) has been operating at
loss for the past 10 years consecutively from financial year
2006/7 to 2016/17 which has eroded shareholders’ equity to
negative balance. In the recent three years I started to note
some improvement in its operations as net operating loss has
decreased from TZS 38.72 billion in 2015/2016 to TZS 16.21
billion in 2016/2017, a decrease of TZS 22.51 billion equivalent
to 58%. The decrease in loss is mainly attributed to the
increase in total revenue from 2015/16 by 20% and decrease in
total cost by 27%.
Page 11
Deni ni tofauti na kupunguza loss, hapo unaona deni linazidi kuongezeka hadi 184B kutoka 166B! wakati loss ilipunguka kutoka 38B hadi 16B
View attachment 1068762
Braza ndege watu wanapanda wa kawaida kabisa,acha kujiliwaza na ujinga, na hakuna ujinga wa kupanda ndege kwa kuangalia wewe ni nani...unaishi Dunia gani wewe? Yaani laki 2 kwenda KIA au laki na 20 unaona nyingi sana hahaNimeangalia. Flight mbili za leo 6pm na 7pm ziko na viti.
Flight za kesho zimejaa viti
Flight za kesho kutwa zimejaa viti.
Hakuna flight haina nafasi. Na kama nilivyosoma huko Jukwaa la siasa ni kweli, wanaofanya bookings majority ni wanaCCM au wakuu wa serikali, ambao hawalipi nauli yote.
Hii ndio screenshot ya leo. Kenya Airways nina uhakika hauwezi pata kiti cha last minute kama unavyoona ATCL.
View attachment 1068723
Tanzanians are demanding answers from their Supreme leader, who has been lying to them that ATCL is doing well.
According to the so called CAG report, it has been revealed that ATCL has in fact been hemorrhaging money, with no signs of recovery.
Kumewaka moto pale Jukwaa la Siasa.
It does not make sense. They say that they bought the planes with their own cash. Meaning the largest expense most airlines have to contend with, i.e. loans and lease repayments, is not there.
Where is the money going?
Ndege tatu na wameshindwa. Kama wangekuwa na ndege 40 kama KQ, ingekuwa disaster.
Hii sasa ni akili ya kitoto, Unaangalia nambari/position badala ya kuangalia score!!!!!!!! nchi ni 188 duniani bana, utakuta kuna nchi hamsini ziko na hio 27%...
Kila nchi kuna element ya ufisadi, hata huko Newzealand, tofauti ni kwamba je hicho kiwengo kina athari kiasi gani kwa jamii? " Is it a public problem?". Tanzania rushwa haijajenfeka katika ngazi ya wanasiasa kama ilivyo huko Kenya, zaidi ipo katika ngazi za wakurugenzi ambao wapo ndani ya uwezo wa rais, na anawafyeka kweli kweli.Kwahivyo unachotaka kutuambia ni kwamba GoT na CCM nzimaa hua hakuna mtu anahusika na Ufisadi? right! keti hapo hapo na uendelee kuburudika