Na Pesa Yetu.. This is Why You Don't Buy Planes in Cash

Na Pesa Yetu.. This is Why You Don't Buy Planes in Cash

Ardhi ya serikali. Hakuna aliyeporwa.
Del Monte inaifanyia kazi. Largest pineapple plantation this side of the Sahara. Thousands employed. Billions in pineapple and pineapple products exports.

Nyinyi mnawapora wawekezaji kwa sababu ya siasa. Ili rais awadanganye kwamba anafanya kazi. Ardhi inakaa bila kufanyiwa kazi. Tanzania inaendelea kuwa LDC.
Hahahaha, vipi wananchi na rais wenu analalamika kwamba nchi yenu haiwezi kujilisha kwasababu ardhi ya kuzalisha chakula ni ndogo wakati mtu mmoja mumempa ardhi tena mzungu mumempa ardhi ambayo ingetosha kuzalisha chakula kwa nchi nzima na kuondokana na aibu ya kutupigia magoti kila mwaka?. Kumbuka hakuna Uhuru wa kweli kama huna uwezo wa kujilisha.

Mbona Mungiki wameamua kuingilia kati na kumtisha Del Monte ili arudishe ardhi kwa wananchi, ina maana wao hawazioni hizo faida unazozitaja wewe?. Kenya bado inaongoza kwa ukosefu wa ajira, Ukosefu wa chakula, na wananchi wake kukosa ardhi ya kulima, wengi wamekimbilia Tanzania kutafuta ardhi wakati ardhi yenu mumewapa wazungu kulima mananasi. "Kenya not yet Uhuru".
 
Hii mtarudia mpaka mchoke. Omba omba wenu na maskini wenu wamejazana hapa Kenya, for their greener pastures.

SGR tunalipa, tunalipa kila mwaka.

Ndege tatu zitaweza kubeba watu chini ya 100,000. Most of the time ziko empty. Huo ni ujinga kwa nchi inayoongoza namba tatu ulimwenguni kwa umaskini.
Ninyi majambazi yenu na majizi yamejaa katika jela zetu, KQ lipo ICU " on life support machine', after 50 years of operations 93% of its planes are leased. Failed state ninyi.
 
Hii mtarudia mpaka mchoke. Omba omba wenu na maskini wenu wamejazana hapa Kenya, for their greener pastures.

SGR tunalipa, tunalipa kila mwaka.

Ndege tatu zitaweza kubeba watu chini ya 100,000. Most of the time ziko empty. Huo ni ujinga kwa nchi inayoongoza namba tatu ulimwenguni kwa umaskini.
Acha uongo TZ ya ngapi kwa umaskin ulimwenguniiii??!!!!!!
Acha urongo embu ziweke Afghanistan,Ethiopia ,Zimbabwe n.k n.k weka 35 nations kabla ya Tz.
Na hao omba omba hawafiki ht ten percent ya hao wananchi wa Tz. Na sidhan km bado wapo.
Unazungumziaje kuhusu hawa majambazi waliokuwepo huku wakenya tuliowafunga.
 
All in all my point is quite clear kwamba hamna popote mpo juu ya Kenya...refer to your statement above.
Kwenye chakula tupo juu ya Kenya.
Kwenye utalii tupo juu ya Kenya.
Kwa jeshi komavu tupo juu ya Kenya.
 
Statistics straight up your ass...afu angalia hata US, Japan na Nchi zingine zilizoendelea kimaendeleo kuwaliko(yani non- LDC Countries including Kenya) Debt to GDP ratio ipo more than 50%.

Rich Counti Kama Tz Ndege Yao inakamatwa na mtu binafsi kwa deni hamjalipa??? Canis lupus.

Kuna swali langu hukujibu bana...ulisema wanafunzi wa Kenya wanavuka border kusomea shule za Danganyika? ..week ushahidi ama povu[emoji23][emoji23][emoji23]
Weka Kama Hii

Watuletea past news hapa ilhali sisi twaongelea contemporary issues ???!!!
In this contemporary world Kenya is still corrupt nation,kenya is still a nation full of hunger and famine,Kenya is still a nation with failed economic projects,Kenya is still a nation full of tribalism.

Hao walikua wakivuka mipaka kuja huko kufata elimu tu basi.
Si kingine.
Kwahyo ni jambo ndogo
 
Mmmh kumbe ni past news,
Wakati njaa hapo kenya ni current news.
Old news kitu gani na watoto waliongia Class one Sasa wapo class 5 katika hizo shule? Wewe onyesha current news Students wa Kenya wakiingia shule za Tz, ama current Tz students abandoning kenyan schools for their own...Kama huna Rudi kale kinyesi sie tufe na njaa na muwalete watoto wenu tuwafunze kwa mashule yetu ya hadhi ya juu.
 
Where are those days and are they working?

Is your SGR complete and Working?

Why is Your plane being held by one individual over unpaid dues? Kama man pesa mkaikwamue hiyo Ndege leo...canis lupus.
Tumeweza kulipa ndege iweze kurudi toka Canada kuja Tz tushindwe lipa hiyo $33 millions??!!!
Na hii kesi hawakutakiwa kuishika ndege yetu haihusiani kabbisa wamejitia doa hawa.
 
Old news kitu gani na watoto waliongia Class one Sasa wapo class 5 katika hizo shule? Wewe onyesha current news Students wa Kenya wakiingia shule za Tz, ama current Tz students abandoning kenyan schools for their own...Kama huna Rudi kale kinyesi sie tufe na njaa na muwalete watoto wenu tuwafunze kwa mashule yetu ya hadhi ya juu.
Unachekesha ww shule zenu zina hadhi gan za juu ????
 
Baptism by fire.
Mmejigamba ndege mmenunua na pesa yenu.

We tried to explain to you that many airlines are choosing to lease not buy. Leased aircraft makes up almost 50% of the world fleet, up from less than 10% a few decades ago.

The dynamics of owning your planes are just too much.
In case of unexpected situations like you currently find yourself in, the whole baggage is yours to carry.

Kwanza vile ATCL ni 100% ya serikali, your planes will be very lucrative to all the foreign businessmen you have been mistreating over the decades.

Already, another company is suing your government in the UK after they generated for you power and you refused to pay.

Very soon usishangae zile kuku zetu mlichoma wenyewe wakienda mahakamani.

ATCL sitashangaa ikiwa reduced to local routes. 😂 😂 😂

Someone is between a rock and a hard place.
 
Watuletea past news hapa ilhali sisi twaongelea contemporary issues ???!!!
In this contemporary world Kenya is still corrupt nation,kenya is still a nation full of hunger and famine,Kenya is still a nation with failed economic projects,Kenya is still a nation full of tribalism.

Hao walikua wakivuka mipaka kuja huko kufata elimu tu basi.
Si kingine.
Kwahyo ni jambo ndogo
Na bado wanavuka unless uko na contradictory news.

Tanzania is still a nation of real hunger but living in denial.

Real poverty but cooked data and figures for propaganda purposes

Poor LDC Nation with stalled projects, budget deficits, poor infrastructure.

Poor People with a huge gap between the 10millionaires and 69million peasants.

Poor and debt ridden country unable even to protect their National assets from private entities/individuals e.g ATCL

Poor country unable to service it's debt to an extent of being cancelled as bad debt.

Poor country listed in the Least Developed Countries category globally.

Poor country Shamba la Bibi for all Tom, Dick and Harry to fAck them any style found in the Kamasutra.😂😂😂

Povu ruksa
 
Old news always,
Tuletee current news kuwa wapo saa hii na sisi tukupe current news kuwa kenya kuna njaa.
Old news kitu gani na watoto waliongia Class one Sasa wapo class 5 katika hizo shule? Wewe onyesha current news Students wa Kenya wakiingia shule za Tz, ama current Tz students abandoning kenyan schools for their own...Kama huna Rudi kale kinyesi sie tufe na njaa na muwalete watoto wenu tuwafunze kwa mashule yetu ya hadhi ya juu.
 
Unachekesha ww shule zenu zina hadhi gan za juu ????
Angalia ranking ya University of Nairobi (8) na Dar is Sluum (44) afu uone Nini kinanichekesha 😂😂😂

Hahahaha×4
 
Old news always,
Tuletee current news kuwa wapo saa hii na sisi tukupe current news kuwa kenya kuna njaa.
Niletee current news kuwa watoto wa Tz hawaingii Kenya kutafuta elimu Bora ama uweke povu 😂😂😂
 
Ndugu yenu alimaliza kila kitu hapa,
Wewe endelea kuongea ili ujifurahishe.

Na bado wanavuka unless uko na contradictory news.

Tanzania is still a nation of real hunger but living in denial.

Real poverty but cooked data and figures for propaganda purposes

Poor LDC Nation with stalled projects, budget deficits, poor infrastructure.

Poor People with a huge gap between the 10millionaires and 69million peasants.

Poor and debt ridden country unable even to protect their National assets from private entities/individuals e.g ATCL

Poor country unable to service it's debt to an extent of being cancelled as bad debt.

Poor country listed in the Least Developed Countries category globally.

Poor country Shamba la Bibi for all Tom, Dick and Harry to fAck them any style found in the Kamasutra.[emoji23][emoji23][emoji23]

Povu ruksa
 
Back
Top Bottom