1)Tanzania is a nation full of Party politics, segregation and killings.
2)A nation full of police killings Kama vile akwilina.
3)Nation full of fair trials- sijasikia fair trials in Tz ila umetaja Kenya zipo...thank you.
4)A nation full of equality 2% of workers are paid the 90% of government's budget. - Rudi shule ama uje shule za Kenya tukufunze kujua unachoandika and stop getting strange figures up your ass.
5)A nation full of hunger and famine people daily dying like thug dogs by hunger.- tukule kinyesi kabisa
6)A nation full of lazy soldiers instead of dealing with crimes they are stealing in the malls breads and juices.- na kupigwa mapanga kule kongo na kushindwa kuikomboa ATCL
7)A nation full of ungoing projects such as Rapid transit buses. Tanzania mnashindwa na SGR, pipeline, kinyesi 123, Strugglers gorge na mwishowe Bagamoyo Port
8)A nation full of poor social welfare given by bias in accordance of tribalism. Hapa Chadema watakujibu sawasawa
9)The only nation people suffer in their own land for land owning. Hapa sijakuelewa tafadhali tumia lugha ya Kiswahili.
10)The only nation claiming to have higher nominal GDP while they can't even finance a small economic project by their own money. The one country claiming to buy kwa"pesa zetu na wameshindwa kumalizia Bagamoyo, SGR na kuikomboa ATCL [emoji23][emoji23]
11)The only country where land is owned much by whites and politicians. Sisi wengine tunaishi Kibela [emoji23] [emoji23]
Daaah asee mpk nachoka haya yote matatizo zenu asee hongereni.
Ukitaka kujijua ww ni kilaza Tz ndio imeanza miradi yake.
1)Sgr bado inajengwa phase 1 ipo 70% phase 2 ipo 15%.
2)ATCL kukamatwa kwake ni deni la mkulima toka awamu ya Nyerere haikusababishwa na awamu hii ila madame serikali ni moja italipa.
3)Bagamoyo project ili ghairishwa kutokana na sababu maalum.
4)Stiglers gorge ndio imelipiwa mwaka huu na mradir ndio unaanza kufanyika kwahyo subiri ukamilike ama subiri muda tuliambiwa upite isipokamilika ndio uongee.
Jifunze ku argue by points sio kuleta uhemko.
6)Tanzania hakuna ukabila hao CHADEMA wanaajiriwa popote watakapo na wanapata neema za nchi km kawaida isipokua mvutano upo ktk madaraka tu.Hii ni tofauti na Kenya mkikuyu akiwa boss hawez kumpa ajira mkisii.
7)Hapa EAC kenya ndio inafahamika kwa unlawfull police killings.
8)Watumishi wa umma hususan madaktari wanagoma sana hati last year waligoma.
9)Pato kubwa la serikali linatumika kulipa asilimia 2 ya watumishi wa umma kitu ambacho ni inequality na ubadhilifu wa hela.
10)"suffering in land owning " mnateseka ktk umiliki wa ardhi sijui nn hujaelewa.
11)Muda sana Nimekwambia ulete evidence ya Tz kula kinyesi unashindwa ilhali kenya watu wanakula mifupa iliyokongoroka ya wanyama na watu pamoja na mifugo kufa njaa.
Bado still we ni kilaza.
Hakuna project TZ tulianzisha halafu tukakwama hakuna ila Kenya ipo mmenazisha miradi na kukwama njiani.
Sisi miradi yetu bado inafanyika tena kwa kasi phase 1na 2 za Sgr zinafanyika kwa pamoja na phase one ikikamilika nguvu inaelekezewa phase 3 ili 2 na 3 ziwe zinafanyika kwa wakati mmoja.
Endelea kujifurahisha au kujifariji.