Na Pesa Yetu.. This is Why You Don't Buy Planes in Cash

Hahahaha, vipi wananchi na rais wenu analalamika kwamba nchi yenu haiwezi kujilisha kwasababu ardhi ya kuzalisha chakula ni ndogo wakati mtu mmoja mumempa ardhi tena mzungu mumempa ardhi ambayo ingetosha kuzalisha chakula kwa nchi nzima na kuondokana na aibu ya kutupigia magoti kila mwaka?. Kumbuka hakuna Uhuru wa kweli kama huna uwezo wa kujilisha.

Mbona Mungiki wameamua kuingilia kati na kumtisha Del Monte ili arudishe ardhi kwa wananchi, ina maana wao hawazioni hizo faida unazozitaja wewe?. Kenya bado inaongoza kwa ukosefu wa ajira, Ukosefu wa chakula, na wananchi wake kukosa ardhi ya kulima, wengi wamekimbilia Tanzania kutafuta ardhi wakati ardhi yenu mumewapa wazungu kulima mananasi. "Kenya not yet Uhuru".
 
Ninyi majambazi yenu na majizi yamejaa katika jela zetu, KQ lipo ICU " on life support machine', after 50 years of operations 93% of its planes are leased. Failed state ninyi.
 
Acha uongo TZ ya ngapi kwa umaskin ulimwenguniiii??!!!!!!
Acha urongo embu ziweke Afghanistan,Ethiopia ,Zimbabwe n.k n.k weka 35 nations kabla ya Tz.
Na hao omba omba hawafiki ht ten percent ya hao wananchi wa Tz. Na sidhan km bado wapo.
Unazungumziaje kuhusu hawa majambazi waliokuwepo huku wakenya tuliowafunga.
 
All in all my point is quite clear kwamba hamna popote mpo juu ya Kenya...refer to your statement above.
Kwenye chakula tupo juu ya Kenya.
Kwenye utalii tupo juu ya Kenya.
Kwa jeshi komavu tupo juu ya Kenya.
 
Watuletea past news hapa ilhali sisi twaongelea contemporary issues ???!!!
In this contemporary world Kenya is still corrupt nation,kenya is still a nation full of hunger and famine,Kenya is still a nation with failed economic projects,Kenya is still a nation full of tribalism.

Hao walikua wakivuka mipaka kuja huko kufata elimu tu basi.
Si kingine.
Kwahyo ni jambo ndogo
 
Mmmh kumbe ni past news,
Wakati njaa hapo kenya ni current news.
Old news kitu gani na watoto waliongia Class one Sasa wapo class 5 katika hizo shule? Wewe onyesha current news Students wa Kenya wakiingia shule za Tz, ama current Tz students abandoning kenyan schools for their own...Kama huna Rudi kale kinyesi sie tufe na njaa na muwalete watoto wenu tuwafunze kwa mashule yetu ya hadhi ya juu.
 
Where are those days and are they working?

Is your SGR complete and Working?

Why is Your plane being held by one individual over unpaid dues? Kama man pesa mkaikwamue hiyo Ndege leo...canis lupus.
Tumeweza kulipa ndege iweze kurudi toka Canada kuja Tz tushindwe lipa hiyo $33 millions??!!!
Na hii kesi hawakutakiwa kuishika ndege yetu haihusiani kabbisa wamejitia doa hawa.
 
Unachekesha ww shule zenu zina hadhi gan za juu ????
 

Someone is between a rock and a hard place.
 
Na bado wanavuka unless uko na contradictory news.

Tanzania is still a nation of real hunger but living in denial.

Real poverty but cooked data and figures for propaganda purposes

Poor LDC Nation with stalled projects, budget deficits, poor infrastructure.

Poor People with a huge gap between the 10millionaires and 69million peasants.

Poor and debt ridden country unable even to protect their National assets from private entities/individuals e.g ATCL

Poor country unable to service it's debt to an extent of being cancelled as bad debt.

Poor country listed in the Least Developed Countries category globally.

Poor country Shamba la Bibi for all Tom, Dick and Harry to fAck them any style found in the Kamasutra.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Povu ruksa
 
Old news always,
Tuletee current news kuwa wapo saa hii na sisi tukupe current news kuwa kenya kuna njaa.
 
Unachekesha ww shule zenu zina hadhi gan za juu ????
Angalia ranking ya University of Nairobi (8) na Dar is Sluum (44) afu uone Nini kinanichekesha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

HahahahaΓ—4
 
Old news always,
Tuletee current news kuwa wapo saa hii na sisi tukupe current news kuwa kenya kuna njaa.
Niletee current news kuwa watoto wa Tz hawaingii Kenya kutafuta elimu Bora ama uweke povu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ndugu yenu alimaliza kila kitu hapa,
Wewe endelea kuongea ili ujifurahishe.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…