Na rafiki yangu matata sijui mnae huko kwenu

Unique Flower

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
12,838
Reaction score
25,282
Leo nimemkumbuka my rafiki yangu sio kipenzi kwa sababu alikuwa anakera sana.
1. Anaweza kuvaa brazia zako .
2. Kuvaa nguo zako hataka kama ni special kiasi gani .
Naakiharibu kitu anasema kwani si bahati mbaya unakasirika nini?
Halafu hupenda sana kulalamika bila sababu.
3. Hapendi wewe ukiwa na mtu anadai humpendi ndio maana ukawa na mchumba.
4.huyo mwanadada alikuwa hapendi kutoa hela zake kwa mtu.
5.anapenda kukukwaza kila siku.
Nimemkumbukwa kwa sababu alitoka dar na pia ndio dar asilimia kubwa wanapenda kuwaonea watu.
Yaani wao hawaoni kuwa wanatakiwa kujituma yaani wao wanataka ujitume kwa ajili yao wao wakiwa busy kusimanga watu na kupiga picha kujiremba nakupenda sana mapenzi na fujoo.

Halafu wenyeji wakija huko ndio wanafanikiwa maana wanajua kuwa ndio maisha yamewaleta hapo.
 
Nasikia sasa hivi kazalishwa na kutelekezwa huko Ikungi kwa Lissu
 
Tatizo Binadamu wa siku hizi wabishi sana.
 

Nipo nae hapa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii Attack kwa watu wa Dar ni kubwa mno...

Tutatoa tamko.
Mimi nikiwa mwenyekiti wa watu wa dar, napinga hili suala,

Na nakuachia maelezo katibu muhtasi wetu, uchape andiko lenye kupinga hizi shutuma na kuwakana vikali watu wa namna hiyo wenye kuharibu sifa za utu, utulivu, upole na ukarimu wa watu wa dar. Ni vijana wachache mnoo wanaoharibu sifa za watu wa dar. Kidoho utasikia wanaume wa dar 😂
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sawa Mwenyekiti..

Nalifanyia kazi....Hili halivumiliki...

Tumetukanwa sana, Tumeonewa sana, Tumedhihakiwa sana... Now!!! It's about time..

We'll address the Nation shortly
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sawa Mwenyekiti..

Nalifanyia kazi....Hili halivumiliki...

Tumetukanwa sana, Tumeonewa sana, Tumedhihakiwa sana... Now!!! It's about time..

We'll address the Nation shortly
Nashukuru ndugu katibu muhtasi.
 
Mbona kama rafiki yangu huyo[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…