Na rafiki yangu matata sijui mnae huko kwenu

Na rafiki yangu matata sijui mnae huko kwenu

Kuna comment moja nimewahi kuiona humu JF jamaa alisema yeye hawezi kumuamini mtu anaeishi Dar, hata ndugu au rafiki yake akihamia Dar anaanza kuishi nae kimachalemachale [emoji23][emoji23]
 
Wanaume wanaweza kubebana room mtu zaidi ya 7 na usisikie kelele.Ndugu zetu wawili tu kelele kama wamemeza vocha.
 
la kusagana nae mbona hujalisema..? kwa vurugu zote hizo lazima ulimvumilia na kumpenda kwasabab ya mambo ya Lesbian 😅 ameondoka umemiss utundu wake
 
Mi hakuwa rafiki ila room-mate, alikuwa hana aibu yule dada,,Yani nilipokuwa nikienda darasani akawa anachukua mchele wangu anapika kwa kutumia vyombo na kila kitu changu,, anakula na marafiki zake pasipo kunibakizia hata kijiko cha chakula na ananiachia vyombo vichafu,,, alinichukulia poa sababu nilikuwa kidogo dogo wakati ule,, na upole pia,,, hata ulalamike au umtukane vipi mwenzio anacheka tu,, nilipojua jinsi ya kudeal nae alihama chumba hadi hostel,, hana hamu na mimi mbwa yule
 
Wanaume wanaweza kubebana room mtu zaidi ya 7 na usisikie kelele.Ndugu zetu wawili tu kelele kama wamemeza vocha.
Kelele zinaweza zisiwepo ila manung'uniko moyoni na kusimangwa kwa watu wengine
 
Mi hakuwa rafiki ila room-mate, alikuwa hana aibu yule dada,,Yani nilipokuwa nikienda darasani akawa anachukua mchele wangu anapika kwa kutumia vyombo na kila kitu changu,, anakula na marafiki zake pasipo kunibakizia hata kijiko cha chakula na ananiachia vyombo vichafu,,, alinichukulia poa sababu nilikuwa kidogo dogo wakati ule,, na upole pia,,, hata ulalamike au umtukane vipi mwenzio anacheka tu,, nilipojua jinsi ya kudeal nae alihama chumba hadi hostel,, hana hamu na mimi mbwa yule
Kumbe we mpole
 
Back
Top Bottom