Na siku Kocha Pitso Mosimane "akikwiti' kuwa hamna Akili na hamjui Kucheza Kimataifa pia mje Mshangilie na Kupongezena

Na siku Kocha Pitso Mosimane "akikwiti' kuwa hamna Akili na hamjui Kucheza Kimataifa pia mje Mshangilie na Kupongezena

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kuna Timu moja ya Wasomi na Wastaarbu Tanzania nzima ilipongezwa na Rais wa FIFA Giani Infantino kwa Kuchukua Kwake Ubingwa mwaka jana na hata kufikia Robo Fainali ya CAFCL lakini wala Mashabiki, Wanachama na Wapenzi wake 'hawakujimwambafai' nayo kwani waliona ni Kitendo cha Kawaida sana tu Kwao.

Kweli jana ndiyo niliamini kuwa Ushamba ni Mzigo kwa Watu fulani na kumbe wakidharaulika huwa wanastahili mno.
 
Inauma ila inabidi muzoee tu kwani bado na FA..
Screenshot_20220627-041206.jpg
 
Labda mtu awe Hana akili timamu ndo anaweza kuingia Mitandao na kuandika upumbavu kama huo unfikiria. Kwasababu binadamu tunapongezana pale panapoonekana ni pazuri na kama Kuna makosa/kushindwa kwa jambo Fulani basi ni vyema kutiana moyo na si kubeza
Kwa maana hyo basi hata Simba Leo hii kwa kuwa wamekosea ubingwa na msimu Umeisha bila kikombe chochote wazomewe au kukejeliwa.

Kweli Makolo mmebakiza akili za kuvukia Barbara tu😁😁
 
Na tumemfuata Pisto Mosimane kwenye page yake kumualika aje kwenye fainali ya Yanga vs Coastal union ajionee mitetemo ya Mayele live

Cha ajabu ametujibu kuwa atakuja kwenye mechi ya Simba vs Yanga
 
Na tumemfuata Pisto Mosimane kwenye page yake kumualika aje kwenye fainali ya Yanga vs Coastal union ajionee mitetemo ya Mayele live

Cha ajabu ametujibu kuwa atakuja kwenye mechi ya Simba vs Yanga
Labda anayekuja ni Pitso Mosimane wa Tandale Uzuri ila huyu ninayemjua Mimi hawezi kupoteza muda kuja Kuwatizama.
 
Uto akili zao wanazijua wenyewe. Wao wanafikiri kila aliyekuwa pale alikuwa mwanayanga.


Mambo mengine ni kutumia akili.

Je wewe unaweza kuvaa SKETI ili ukapate nafasi ya kuhudhuria SEND OFF..?

Usitumie Uloto wa Magotini, Safari hii tumia Ubongo Kutafakari.
 
Heeee! Mkuu hili jambo limefika hadi B/R Football
Hata mimi nimeshangaa Yanga kupambwa kiasi hiki itakuwa GSM wametembeza bahasha haiwezekani Afrika nzima na mitandao mikubwa kuwapa promo Yanga tu .
 
Hata mimi nimeshangaa Yanga kupambwa kiasi hiki itakuwa GSM wametembeza bahasha haiwezekani Afrika nzima na mitandao mikubwa kuwapa promo Yanga tu .
Hii ni uhakika GSM bahasha zake zimehusika
 
Back
Top Bottom