Na siku Kocha Pitso Mosimane "akikwiti' kuwa hamna Akili na hamjui Kucheza Kimataifa pia mje Mshangilie na Kupongezena

Na siku Kocha Pitso Mosimane "akikwiti' kuwa hamna Akili na hamjui Kucheza Kimataifa pia mje Mshangilie na Kupongezena

Tuliza kipapa mshua,mnaambiwa mjifunze kupitia Yanga...bisha utabaki hapo mpk sisi walee twaruka pruuuu.
 
Kuna Timu moja ya Wasomi na Wastaarbu Tanzania nzima ilipongezwa na Rais wa FIFA Giani Infantino kwa Kuchukua Kwake Ubingwa mwaka jana na hata kufikia Robo Fainali ya CAFCL lakini wala Mashabiki, Wanachama na Wapenzi wake 'hawakujimwambafai' nayo kwani waliona ni Kitendo cha Kawaida sana tu Kwao.

Kweli jana ndiyo niliamini kuwa Ushamba ni Mzigo kwa Watu fulani na kumbe wakidharaulika huwa wanastahili mno.
Pole sana,angalia usiehuke kwa kwa ushindi wa yanga
 
Naona umeamua kumshambilia Certificate Holder...

[emoji3][emoji3]
Hata hiyo Certificate sina na sina Elimu yoyote ile, lakini nashangaa aliyekuzaa ananipenda kweli kweli Kibaiolojia.
 
Tuliza kipapa mshua,mnaambiwa mjifunze kupitia Yanga...bisha utabaki hapo mpk sisi walee twaruka pruuuu.

Kujifunza kwa hilo basi la kukokdi la Uganda? Ushamba mbaya sana.
Hakuna mafanikio yoyote ambayo Yanga wataanzisha bila kwanza kuiga mafanikio ya Simba. Kwenye kila mafanikio, ubunifu nk, Simba huanza baadae Uto huiga. Tunasubiri kama mutaiga Kimataifa!
Hata mabadiliko ya kimfumo, Simba ilianza na sasa Uto wanaanza kuiga!
 
Kujifunza kwa hilo basi la kukokdi la Uganda? Ushamba mbaya sana.
Hakuna mafanikio yoyote ambayo Yanga wataanzisha bila kwanza kuiga mafanikio ya Simba. Kwenye kila mafanikio, ubunifu nk, Simba huanza baadae Uto huiga. Tunasubiri kama mutaiga Kimataifa!
Hata mabadiliko ya kimfumo, Simba ilianza na sasa Uto wanaanza kuiga!
Sawa Mbumbumbu
 
Back
Top Bottom