Naacha infidelity

Naacha infidelity

  • Thread starter Thread starter RR
  • Start date Start date
This is for Roya Roy!! Nampandisha mzuka ili niweze kumnasa!!

Huna haja ya kunipandisha mzuka.......just way a word and try to infiltrate me...:decision:
mi mgeni humu, kuna nini leo?

Kina Smiles wanauliza kama kuna uwezekano wa kuwa na serikali ya umoja wa kitaifa?? Kama zile za ODM na MDC...:fish2::fish2:
 
Haya twenzetu lunch...nna risiti yako hapa. Katibu kakulipia:llama::llama::llama:

sasa katibu kanilipiaje wakati sijajiunga na chama?
lunch tunakutana wapi sasa? si wanasema kila mtu atumie njia yake kukutana kwenye tukio? au ni wakati wa kupractice infidelity tu?
 
Huna haja ya kunipandisha mzuka.......just way a word and try to infiltrate me...:decision:


Kina Smiles wanauliza kama kuna uwezekano wa kuwa na serikali ya umoja wa kitaifa?? Kama zile za ODM na MDC...:fish2::fish2:

Please define ODM na MDC
 
sasa katibu kanilipiaje wakati sijajiunga na chama?
lunch tunakutana wapi sasa? si wanasema kila mtu atumie njia yake kukutana kwenye tukio? au ni wakati wa kupractice infidelity tu?

Nimekulipia.......halafu mbona umepewa ofa ya lunch ukarukia infidelity?
 
sasa katibu kanilipiaje wakati sijajiunga na chama?
lunch tunakutana wapi sasa? si wanasema kila mtu atumie njia yake kukutana kwenye tukio? au ni wakati wa kupractice infidelity tu?

Kwa mimi na wewe kwa kuwa wote ni wanachama hatuwezi fanya hiyo...katiba haituruhusu.....Kwa hiyo?
 
Nimekulipia.......halafu mbona umepewa ofa ya lunch ukarukia infidelity?

Mimi nimekubali ofa ya lunch. huko kwenye infidelity lilikuwa ni swali tu kama hata kwa lunch pia kila mtu atumie njia yake mkutane huko au kwa lunch mnaweza kuongozana mguu kwa mguu?
 
Kwa mimi na wewe kwa kuwa wote ni wanachama hatuwezi fanya hiyo...katiba haituruhusu.....Kwa hiyo?

Huo uanachama kwani siyo wa hiari? mbona mnanipa uanachama bila ridhaa yangu? lunch................... poa. where?
 
Mimi nimekubali ofa ya lunch. huko kwenye infidelity lilikuwa ni swali tu kama hata kwa lunch pia kila mtu atumie njia yake mkutane huko au kwa lunch mnaweza kuongozana mguu kwa mguu?

Mnaona sasa? Mnaturahishia njia wenyewe. Hoja yangu mimi ni lunch.....ya kwako infidelity? Nani am-doubt mwenzie kati yetu!
 
ODM = Big Brother Asprin! & MDC = Infidelee Smiles!

OK...slowly there!
am tryin to understand correctly hapa!!
ODM = Big Brother Asprin (sipati ratio hapo...vigezo ulivyotumia kubadilisha hizo initials> B - ikawa O....? :confused2:

MDC = Infidelitee Smiles (same case...and still we are missin one initial...C :confused2: and ever more confused....

Lets try again plz.....
 
Back
Top Bottom