Naacha infidelity

Naacha infidelity

  • Thread starter Thread starter RR
  • Start date Start date
Mnaona sasa? Mnaturahishia njia wenyewe. Hoja yangu mimi ni lunch.....ya kwako infidelity? Nani am-doubt mwenzie kati yetu!

Nadhani Asprin tunashindwa kuelewana, na nadhani hatutaelewana kwa hili. mimi pia nazungumzia lunch! ONLY LUNCH! naomba unielewe hilo
 
OK...slowly there!
am tryin to understand correctly hapa!!
ODM = Big Brother Asprin (sipati ratio hapo...vigezo ulivyotumia kubadilisha hizo initials> B - ikawa O....? :confused2:

MDC = Infidelitee Smiles (same case...and still we are missin one initial...C :confused2: and ever more confused....

Lets try again plz.....

Hebu angalia inbox kwenye PM yako!
 
Kiongozi mkuu wa ISC hasemi uongo (u have been warned again)!😡

You have also been WARNED....toa maelekezo yanayoeleweka tafadhali :mad2:

Si unajua kusoma lakini?
Mmh.... what a way to speak with kiongozi mwenza.....:confused2:

Natumaini tupo pamoja eti eeh....?
Ok! narudia tena:
Please define ODM and MDC....
 
Mi nimeuliza swali!! Inaruhusiwa kwa mwanaJF kumtafuna mwanaJF mwenzake? if yes naweza fikiria kutoka katika kustaafu kwa ajili ya kukutempt urudi kwenye chama chako. Na wewe utapaswa kuonyesha nia ya kweli ya kuacha kutamani na kumcha BWANA. (Mind you, you will not get me to bed you but at least nitafanikiwa kukuleta kwa kitanda, nitakuchojoa na kukuacha solemba kama nilivyokuwa nafanya zamani enzi zangu za kuwa katika game).
dah... hapo mie nasema no (sijarejea sheria zinasemaje)

ukishaanza hayo basi kwenye vikao itakua ni mambo ya kuhamisha meza tu, balaah
 
Hebu mwambie MOD Smiles anifungulie basi....

Bahati mbaya nina access na IPC tu....kama unataka kunipa access ya huko kwenu pia ntashukuru sana....
but remember! sheria zitakazo tumika ni zile za IPC tu na si vinginevyo.....:becky:
 
Orait Orait nilikuwa kwenye ukaguzi wa kuangalia ni hoteli ipi nzuri yenye jacuzzi kwa ajili ya INFI atakayepatikana leo....eheee tunazungumzia nini tena hapa?
 
dah... hapo mie nasema no (sijarejea sheria zinasemaje)

ukishaanza hayo basi kwenye vikao itakua ni mambo ya kuhamisha meza tu, balaah


Hahahahaha! Kamanda nimecheka mpaka baaaaaasi!
 
Sitaki kukutana na INFI kama niliyokutana nayo ijumaa khaaa!!!!! Haitaki kurudi sijui game la leo litakuwaje BARCELONA vs YANGA halafu matokeo YANGA 5 BARCELONA 1
 
Sitaki kukutana na INFI kama niliyokutana nayo ijumaa khaaa!!!!! Haitaki kurudi sijui game la leo litakuwaje BARCELONA vs YANGA halafu matokeo YANGA 5 BARCELONA 1

Hivi graduation yako ni lini? Nitahakikisha siku unapata kampani ya Smiles....
 
Hivi graduation yako ni lini? Nitahakikisha siku unapata kampani ya Smiles....

Mabibi na Mabwana makofi tafadhali.....Orait nitashukuru kwa kuwa najua Smiles atakuja na bouquet of flowers kwa ajili yangu she promised me this and later on poppin champagne:tonguez::tonguez:
 
Back
Top Bottom