Naacha ujinga

Naacha ujinga

Ukilala ndio basi utapishana na utajiri. Itaamka asubuhi na madeni ya vikoba na upatu 😅😅
😀😀😀😀usinitishe kwanza ngoja nikasome nna interview kesho
 
😀😀😀😀usinitishe kwanza ngoja nikasome nna interview kesho
Sikutishi hata 😅😅😅

Ukawe na maandalizi mema my wangu, ili kesho ukafanye vzr hiyo interview.
 
Mdau ulishawahi kukata tamaa alafu ukachoka?, sasa ndio hali anayopitia dada yetu huyu. Kwakweli anahitaji matibabu na faraja.

Sidhani kama anachangamsha genge.
 
Mi nikajua sisi wanaume tu kumbe kuna hadi wanawake ambao wapo single
 
Mwanamke unakuaje single? We dume jike nini? Wanaume ndo wako single si wanawake. Mwanamke ni ngum sana kuwa single.
Wewe tahira unaliwa ila sio permanent mie nataka nipate wakunila permanently kama hujui
 
Back
Top Bottom