Mtetezi.com
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 3,134
- 3,584
- Thread starter
-
- #201
Yupo njema kivp?Safari njema naona mganga wa mkeo yupo njema sana.
Chaaa iki ?Chaaaa jamani [emoji23][emoji23]
AsanteBe mature stop ur nonsense,,,,,coz ur age u supposed to be good to ur family..Amua kutoka ndani na badilika everything is possible,,,,Uzinifu ni kujiendekeza tu kitabia icho
Kirahisi rahis tuawe na THAMANI kuliko wanawake woooteeeee.......
Kumbe tupo wengi tunaofanya hivyo na tunatamani kuacha?Daah mkuu ,umevaa uhalisia wangu kabisa each and everything
Nilipanga nije na uzi humu tokea juzi baada ya kuona ninekua nikichepuka mnoo ,
Kiukwel nigusie tu sisi wanaume kuchepuka haimaaanishi hatuwapendi wake zetu , au haturidhishwi na wake zetu bali ni kitu ambacho kipo ndani ya damu yetu
Anyway ukiiipata dawa ya kuacha kuchepuka hemu nipe na mm mkuu
Duh!.Shaurina na mkeo suala hili.....
Basi usifanye.....Duh!.
Sio kama nitakuwa kama nampa taarifa ya uchafu ninaoufanya
Basi usifanye.....
Daah mkuu ,umevaa uhalisia wangu kabisa each and everything
Nilipanga nije na uzi humu tokea juzi baada ya kuona ninekua nikichepuka mnoo ,
Kiukwel nigusie tu sisi wanaume kuchepuka haimaaanishi hatuwapendi wake zetu , au haturidhishwi na wake zetu bali ni kitu ambacho kipo ndani ya damu yetu
Anyway ukiiipata dawa ya kuacha kuchepuka hemu nipe na mm mkuu
Haha jaman hahahaahhaah
Ndio, kama.anaogopa kumshirikisha mkewe, sasa akae kimya....
Duh.........
Waonaje binamu....?
Mambo yenyewe haya wacha niendelee kuchepuka na wanaume za watu
Wacha waendelee, wewe ukipata nafasi hutakubali..?
Nikipata nafasi ya nn?
Na mkeo antafunwa kwa Siri sana sema tu hujuiKama kichwa kinavyojieleza!
Mimi ni kijana nipo katikati ya miaka ya 30's na nina mke na watoto wawili.
Nikiri yakuwa mke wangu ni mzuri sana na mwema sana kwangu, mishahara yetu tunaiweka kwenye acc moja kwaajili ya maendeleo yetu na wanetu, haendi wala kufanya chochote bila kuniambia, kwa kifupi ni mwema sana kwangu!.
Na mimi pia kama baba ndani ya nyumba najitahidi kadri ya uwezo wangu kuwa mwema na uchafu wote ninaoufanya hajawahi hata kuhisi mimi ni msiri mno na ninaochepuka nao ninawaambia nina mke sitaki usimbufu home time!
Najitahidi sana nisitumie rasilimali tunazochuma pamoja kula na michepuko hivyo nafanya kila namna/manuva nipate extra money kwaajili ya michepuko out of our normal earnings!
Baada ya ndoa niliweza kukaa 3 years without to cheat but baada ya kukutana na ex wangu wa o level nikajikuta naanza uchafu ambao nilishaungama/kutubu.
Nikiri tu kabla ya ndoa nilikuwa kicheche nisiyepitwa na sauti mpya ila niliamini nikioa nitaacha.
Nikaoa nikajitahidi but now ndio kama nimechokoza yani nimekuwa kicheche kuliko ambao hawajaoa japo nafanya kwa siri sana hakuna anayeweza jua zaidi yangu na ninayemla mbaya zaidi ninaofanya nao kwa uzuri hawamfikii mke wangu hata robo.
Kinachoniuma sio rasilimali ninazozitumia, magonjwa wala mda ila naumia sana kuona nashindwaje kuacha uzinzi, naisaliti ndoa yangu na namsaliti mke wangu ambaye ninampenda sana!
Nikiri ninampenda sana ila namsaliti bila huruma.
Nakosea wapi wakuu!
Naomba ushauri utoke kwa waliooa na walioolewa tu!
Madogo kuweni myaone.
Mkuu pole sanaTupo wengi haupo pekee ako nakutia moyo
Tatizo si kugonga kila siku,bali ni kupewa kila siku ndio tatizo lilipoSio kweli mimi naweza gonga usiku na asubuhi kwa mke lakini jioni kabla yankurudi home nikachepuka hapo inakuwaje sasa