DuhKwa usiri huo huo naye anatumiwa
Duhmkuu vaa chupi ya chuma alafu funga na kufuli funguo muachie mkeo nyumbani hiyo ni dawa pekee ya kuacha uzinzi....ukielewa nimemaanisha nini utafanikiwa
Kuwa mwanaume utayaonaUnampenfa afu unamsaliti. Matumaini wajipayo wanaume [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti ninao chepuka nao hawamfikii hata kidogo. Sasa unafata nn??
Acha uzinzi ww
ThanksFind God.
Hata mkeo ni msiri saana
Nilizizoea sana yani ilikuwa haipiti siku3 sijaonja mpya
Yani we acha tu mpaka naonaga aibu nikikumbuka.Huo nadhan ndo uanaume ulivyo.Its nature.Kuna rafiki yangu alioa mke mzuriiiiii!Sura,Hilo shape ndo usiseme but alikuwa anahangaika na vimwanamke vibayaaa
DuhUsiache ila kuwa makini usikamatwe
Nimeshaamua sana ila utekelezaji unakuwa ni zero mkuuHapo hakuna cha zaidi ni kuamua tu kamanda
Hahahaaa nahisi mtumishi pale aliangalia elimu na maadili sura hakuangaliaSasa kama umemuoa kama Grace muke wa GB unaachaje kwa mfano.
Nimeshaamua sana ila utekelezaji unakuwa ni zero mkuu