Naachaje kuchepuka ?

Naachaje kuchepuka ?

Kwani mke si anamwona huyu jamaa mwema?

Haya, mke naye anaonekana mwema kwa huyu jamaa.

Hapo unadhani mke naye katulia tu? Analijua mwenyewe...huenda yeye kakosa pa kuanzishia uzi anachepuka kumzidi huyu.
Mungu azidi kumlinda!
Mana nimemtrack kila line na social networks nimetumia apps tofauti kama whatsapp webu sijaona shida kwake ndio mana ninaumia zaidi.
 
Unampenfa afu unamsaliti. Matumaini wajipayo wanaume [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti ninao chepuka nao hawamfikii hata kidogo. Sasa unafata nn??
Acha uzinzi ww
 
mkuu vaa chupi ya chuma alafu funga na kufuli funguo muachie mkeo nyumbani hiyo ni dawa pekee ya kuacha uzinzi....ukielewa nimemaanisha nini utafanikiwa
 
Pole sana mkuu,ila tambua hiyo ni hulka mhimu mheshimu zaidi mkeo na uchepuke kwa step
 
Unatudhalilidha wanaume, wenzako wanachepuka kama mwanamke haeleweki hvyo wanakuwa na stress na upweke, sasa wewe ndugu hauna sababu ya kuchepuka zaidi ya kuwa tu ni tabia binafs uliyojizoesha ya uzinz, sasa kama ulijiona mzinzi ni heri ungeoa mzinzi mwenzako kuliko kumdhalilisha mkeo

Unaweza kusema ni siri lakin iko sku atajua....

Ebu jiulize, yeye akichepuka utajiskiaje?
Nashukuru sana kaka
 
Back
Top Bottom