Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Hata sijui maana mimi pia nipo kama weweNaomba ushauri nifanyaje unajua najichukia kwa hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata sijui maana mimi pia nipo kama weweNaomba ushauri nifanyaje unajua najichukia kwa hili
Nilizizoea sana yani ilikuwa haipiti siku3 sijaonja mpyaAu mzee baba ulioa bila kuzizoea pussy???
Ushauri kama huu ni wa kichokoziHata mkeo ni msiri saana
Hujui ulisemalo ndio maana!Pepo la uzinzi ndio linakusumbua.
Alaf ungekua unampenda usinge msaliti.
Pole sana
Mungu azidi kumlinda!Kwani mke si anamwona huyu jamaa mwema?
Haya, mke naye anaonekana mwema kwa huyu jamaa.
Hapo unadhani mke naye katulia tu? Analijua mwenyewe...huenda yeye kakosa pa kuanzishia uzi anachepuka kumzidi huyu.
Sasa nikiwa nae si nakusahau wewe...nikiwa na Asha namsahau yeye.Hahaha ingekuwa hivyo ulivyosema msingekuwa na uwezo wa kuhendo wanawake saba kwa mpigo
Ulikuwa unatafuta justification ya uovu wako hujapata, pole sanaMungu azidi kumlinda!
Mana nimemtrack kila line na social networks nimetumia apps tofauti kama whatsapp webu sijaona shida kwake ndio mana ninaumia zaidi.
Halafu wanasema ukiwa mwema mume atatulia. Wapi bwana kama umeolewa na binamu yake shetani hata ungekuwa mdogo wake malaika Gabriel hakuna kitu unaweza kufanya
Umeolewa mkuu?
Hata sijui
Sasa nini tatzo??? Maana Hakuna mwanaume anachepuka bila sababu na wewe pekee ndo unaijua sababuNilizizoea sana yani ilikuwa haipiti siku3 sijaonja mpya
Nashukuru sana kakaUnatudhalilidha wanaume, wenzako wanachepuka kama mwanamke haeleweki hvyo wanakuwa na stress na upweke, sasa wewe ndugu hauna sababu ya kuchepuka zaidi ya kuwa tu ni tabia binafs uliyojizoesha ya uzinz, sasa kama ulijiona mzinzi ni heri ungeoa mzinzi mwenzako kuliko kumdhalilisha mkeo
Unaweza kusema ni siri lakin iko sku atajua....
Ebu jiulize, yeye akichepuka utajiskiaje?
AsanteRudi Kwenye Imani Yako. Tubu Na Acha Kabisa