Mtetezi.com
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 3,134
- 3,584
- Thread starter
-
- #101
[emoji1] [emoji2]Maybe,labda mazingira aliyokuwapo na uchumi wake wakati ule pia ulimpunguzia selection chances.
Prediction are highly restricted&prohibited give me what I asked you.Ukitaka kuacha hiyo tabia..subiri siku moja UFUMANIWE red handed,trust me kitakachokukuta Hata hutohitaji ushauri wa kuacha hiyo tabia yako.
Ukiona mwanamke anachepuka ujue hana furaha.
Wanaochepuka kwaajili ya pesa ni wachache. Wengi ni vijimambo tu vinavyofanya wakose Raha, mume anaweza akawa na pesa na raha usiipate.hahaha hana furaha au mumewe hana pesa.
mmmmh, hiyo NB umesemaje?Hujaamua kuacha wewe!
Kila kitu ni maamuzi tuu, huo muda wa kuchat na mchepuko chat na mkeo!
Huo muda wa kumuwaza mchepuko, muwaze mkeo!
Huo muda wa kukaa na mchepuko cheza na mwanao!
Hizo hela unazompa mchepuko mnunulie mkeo zawadi!
Tenga muda wa kusali na mkeo kila siku, muda wa kusoma neno na mkeo kila siku! Mfanye mkeo awe rafiki yako wa kwanza!
N.B, nina miaka kumi kwenye ndoa!
Wanaochepuka kwaajili ya pesa ni wachache. Wengi ni vijimambo tu vinavyofanya wakose Raha, mume anaweza akawa na pesa na raha usiipate.
InshaallahAmua Kwa nia ya dhati kabisa, utaweza tuu.
Hakuna Cha tabia. Kuna mambo yanapelekea mtu achepuke. Iwe kwa mwanaume au mwanamke. Na ukiona mke anachepuka ujue kavumilia mengi..watu wanaitafuta furaha sehemu iliyopoHakuna excuses ya kuchepuka ww, kuchepuka ni tabia
Huyu hajui analolizungumzaAmshirikishe mkewe kwamba anachepuka sio?? Ili nae aanze kuchepuka?? Umeoa mkuu??
Hakuna Cha tabia. Kuna mambo yanapelekea mtu achepuke. Iwe kwa mwanaume au mwanamke. Na ukiona mke anachepuka ujue kavumilia mengi..watu wanaitafuta furaha sehemu iliyopoHakuna excuses ya kuchepuka ww, kuchepuka ni tabia
Sio kwa JfMzee relax, tulia mkuu utapata ushauri murua
Msaidie kukea limtokePepo la uzinzi ndio linakusumbua.
Alaf ungekua unampenda usinge msaliti.
Pole sana
Fanya kama hujaona jamani, tatizo mleta mada hatuamini!mmmmh, hiyo NB umesemaje?
Mumeoje?Hujaamua kuacha wewe!
Kila kitu ni maamuzi tuu, huo muda wa kuchat na mchepuko chat na mkeo!
Huo muda wa kumuwaza mchepuko, muwaze mkeo!
Huo muda wa kukaa na mchepuko cheza na mwanao!
Hizo hela unazompa mchepuko mnunulie mkeo zawadi!
Tenga muda wa kusali na mkeo kila siku, muda wa kusoma neno na mkeo kila siku! Mfanye mkeo awe rafiki yako wa kwanza!
N.B, nina miaka kumi kwenye ndoa!
Ndoa tamu sana ila wanandoa tunaziharibuDaaah ndoa ngumu sana Aiseee
Basi hujaamua!Mumeoje?
Unadhani ni kirahis kiasi hicho mkuu