Naachaje kuchepuka ?

Naachaje kuchepuka ?

Huwa kila siku tunajifunza, nina jamaa ana bonge la wife, yaani mke wake ni mzuri sana. Ukimuona tu lazima umtazame tena, lakini to my surprise jamaa ni mchepukaji number one. Halafu akikuonyesha clips anazotuhumiwa na hao mahawara zake, ni wa kawaida tu lakini anawala balaa.

Kuacha ku-cheat ni maamuzi tu, tena maamuzi ya kujikana nafsi hadi uzoee hali ya kuishi na mtu mmoja, regardless anakupa punani kila ukimhitaji au anakubania. Wengine wana wake ambao sio fans wa kufanywa kila siku lakini wametulia tu na wake zao.

Dunia hii ridhika tu na kile ulichopewa, ukiwa mroho sana utaishia kuumia tu.
 
M nahis hamna cha pepo wala nin n maamuz tu ukishaamua mbona kila mwanamke utamuona wa ovyo n maamuz tu
 
Ukioa ndo unakuwa upo kwenye nafasi kubwa ya kuchepuka na kuwa na wanawake wengi kuliko mabachelor ambao hawajaoa
 
Me mke wangu sioni sababu ya kumsaliti kabisa ndo maana nimetuliaa..tukigombana nafanya namna mpaka tupatanee..Tunda ananipa kila nikihitaji so sina mizukaa kabisa...
Akiwa siku zake vipi unaponea wapi?
 
Ridhika na mkeo
Muosha huoshwa
Mkeo nae ipo siku watamnaniliuu ndo utajua maumivu yake
 
Mungu azidi kumlinda!
Mana nimemtrack kila line na social networks nimetumia apps tofauti kama whatsapp webu sijaona shida kwake ndio mana ninaumia zaidi.
Nahisi ww kma Mimi sema Mimi sijawahi kumtrack mke wangu naomba nipe tips za kufuata ili nimjaribu wangu. Ila pole sikupi maana pusy nazo zinatofautiana radha. Huwezi ukala mchicha mwaka mzima lazima utafute japo kisamvu.
 
Yani pamoja na tabia ulonayo ilokithiri lakini mkeo hajaweza kukustukia?

Hapo ndo huwa siwaelewagi wanawake wengi !

Sasa akiletewa ugonjwa yeye anaweza kufa kwa panic kuliko hata Yule mhusika mkuu.

Unajua mwanamke ukistukia mapema unaweza kuchukua tahadhari mapema kabla ya hatari.
 
Mwanaume wa hivyo bora kuachana mapema kwa usalama wa maisha ya mtu!
 
Kama kichwa kinavyojieleza!
Mimi ni kijana nipo katikati ya miaka ya 30's na nina mke na watoto wawili.

Nikiri yakuwa mke wangu ni mzuri sana na mwema sana kwangu, mishahara yetu tunaiweka kwenye acc moja kwaajili ya maendeleo yetu na wanetu, haendi wala kufanya chochote bila kuniambia, kwa kifupi ni mwema sana kwangu!.

Na mimi pia kama baba ndani ya nyumba najitahidi kadri ya uwezo wangu kuwa mwema na uchafu wote ninaoufanya hajawahi hata kuhisi mimi ni msiri mno na ninaochepuka nao ninawaambia nina mke sitaki usimbufu home time!

Najitahidi sana nisitumie rasilimali tunazochuma pamoja kula na michepuko hivyo nafanya kila namna/manuva nipate extra money kwaajili ya michepuko out of our normal earnings!

Baada ya ndoa niliweza kukaa 3 years without to cheat but baada ya kukutana na ex wangu wa o level nikajikuta naanza uchafu ambao nilishaungama/kutubu.
Nikiri tu kabla ya ndoa nilikuwa kicheche nisiyepitwa na sauti mpya ila niliamini nikioa nitaacha.

Nikaoa nikajitahidi but now ndio kama nimechokoza yani nimekuwa kicheche kuliko ambao hawajaoa japo nafanya kwa siri sana hakuna anayeweza jua zaidi yangu na ninayemla mbaya zaidi ninaofanya nao kwa uzuri hawamfikii mke wangu hata robo.

Kinachoniuma sio rasilimali ninazozitumia, magonjwa wala mda ila naumia sana kuona nashindwaje kuacha uzinzi, naisaliti ndoa yangu na namsaliti mke wangu ambaye ninampenda sana!
Nikiri ninampenda sana ila namsaliti bila huruma.


Nakosea wapi wakuu!
Naomba ushauri utoke kwa waliooa na walioolewa tu!
Madogo kuweni myaone.
And vice versa is true!
 
Back
Top Bottom