Naachaje kuchepuka ?

Asante
 
Sio kwa Jf
Sasa kama ulijua hutopata ushauri wa maana ulikuja kufanya nini? Ujue mambo mengine hayashauriki, hiyo tabia unaifanya ukiwa na akili timamu yaani unaamua na unaondoka kwa miguu yako unaenda kutenda dhambi kwa hiyo mwenye kuamua kutofanya ni wewe, hata ungeombewa au kushauriwaa na Yesu mwenyewe kama hujaamua mwenyewe kwa dhati ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu
 

Endelea kuichukia hiyo tabia.hiyo ni dalili kwamba umeaza kureflect mwenendo wako.ila.kama kina sababu kama vile wife mara nyingi anakwambia amechoka wakati wewe unahitaji .inabidi mzungumze pamoja kwamba shetani ameanza kujiinua
 
n
Me mke wangu sioni sababu ya kumsaliti kabisa ndo maana nimetuliaa..tukigombana nafanya namna mpaka tupatanee..Tunda ananipa kila nikihitaji so sina mizukaa kabisa...
mdogo wangu nakushuari uwe unaandika bila kuongeza herufi zisizokuwepo kwenye maneno mfano tupatanee mzukaa
 
Hakuna Cha tabia. Kuna mambo yanapelekea mtu achepuke. Iwe kwa mwanaume au mwanamke. Na ukiona mke anachepuka ujue kavumilia mengi..watu wanaitafuta furaha sehemu iliyopo
Lakini kuna mwingine anakutana nayo yale yale na hachepuki. Ma.laya ma.laya tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah huwa napata hasira sana mtu akiandika kwa mtindo huo kumbe tuko wengi...tuvumilie tu ndio kizazi tulichonacho
n mdogo wangu nakushuari uwe unaandika bila kuongeza herufi zisizokuwepo kwenye maneno mfano tupatanee mzukaa
 
Kabisaaa
 
aaah!!mkuu cc ambao hatujaoa tunaweza kuwaza nje ya box zaid ya nyie,ila kama mmetunyima fursa poa tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah huwa napata hasira sana mtu akiandika kwa mtindo huo kumbe tuko wengi...tuvumilie tu ndio kizazi tulichonacho
najiuliza mbona kijana wangu wa miaka mitano anaweza kuandika vizuri? hawa ni watoto wa 2000's
 
Kwa taarifa yako mkeo naye ana michepuko yake na anajua fika kuwa ww ni kicheche sema kakupotezea tu,ila kaa ukijua kuwa mkeo ana michepuko kibao zaidi yako
 
Kama unavyojitahidi kujificha na kujitapa mkeo hajui.. na mkeo pia anajitapa hivyohivyo. Mmeshidwa kuona mabadiliko katika ndoa yenu sababu wote wa2 kuna ki2 mnafichana.. mke mwaminifu ni rahisi sana kumjua mme asiyemwaminifu and vice versa (ikishindikana basi wote sio waaminifu)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…