Naachana na harakati za kisiasa Tanzania, hazina faida yoyote


naomba nijibu kama mmoja wa waliotajwa hapa kua ni tatizo.

moja ya sababu ya mimi kutoandamana kwa lengo la kudai Haki, Amani na Maendeleo kwa Watanganyika wote ni kuwa, najua wazi nitakapo fanya hiyvo policcm watazuia maandamano hayo kwa Unyama na risasi za moto. Na ikitokea nimeuliwa, kifo changu hakita kua na IMPACT yoyote katika Lengo tajwa.

kama utaachana na siasa ni sawa, lakini nakusihi usiachane na harakati za kudai Haki, Usawa, Amani na Maendeleo kwa Watanganyika. It is your duty as human being & Mtanganyika.

Tukae chini tutafute njia ambazo hata tukipoteza maisha yetu katika harakati hizi basi angalau kuwe na SERIOUS REPERCUSSION kwa wahusika na SIGNIFACANT IMPACT kuelekea lengo.

Dont just loose your life, make sure when you do so it certainly counts…it is the only way i can justify, wilingly loosing mine.
 
Wewe ndiyo ujamuelewa jamaa kakata tamaa
Hajakata tamaa ila tunakatisha tamaa.

Mfano kwenye Corona . Awamu ya 5 kuitaja tu Corona na chanjo yake ilikuwa jinai machoni mwa vyombo vya dola.
Awamu ya 6 kuipinga Corona na chanjo yake ni jinai machoni mwa vyombo vya dola. Na wananchi hawawezi kuhoji !!. Kwanini jana hivi na leo vile !!.
 
I salute you Mkuu 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾👍🏽 Ahsante sana.
 
Upo kambi gan ya wakimbizi?
 
Kiufupi nimeachana na siasa, nimeachana na Tanzania nimekata tamaa, nimepoteza uzalendo nitaondoka Tanzania na kwenda kuishi na familia yangu kwenye nchi nyingine inayofuata misigi ya Sheria, Haki na Uwajibikaji wa viongozi.
Njauleje; nambi tujileuli?
Sisi hatuna nchi nyingine, kwa hiyo tutabanana hapa hapa. Yale yasiyo sawa tutaendelea kuyarekebisha polepole, kiungwana, kwa hoja badala ya vioja, bila fujo, na kwa ustaarabu bila kuvuruga amani ya nchi yetu.
 
Kafie mbele huna pointi,Malaya wa kisiasa
 
saivi ni kunyonga mapolisi huku kitaa ndio kilichobaki
 
Point! point! point! Najingine umelisahau kwanini jambo la katiba wa hoji chadema tu wakat kuna vyama vya siasa zaidi ya 20.
Katiba ni hitaji la wanasiasa, siyo hitaji letu wananchi huku vijijini. Sisi tunahitaji huduma nzuri za afya, maji, shule, barabara zinazopitika, masoko ya uhakika ya kuuzia mazao yetu, bei nzuri za mazao, kupunguza umaskini, nk. Hayo hayahitaji hiyo katiba yenu ili yaweze kupatikana.
 
Kwani kuna mtu alikushika miguu na mikono usiandamane?? Kwa jinsi unavyoandikaga nyuzi zako niliona kabsiaa hatuna mtu hapoo.. kama kweli ww n mwanamabadiliko ungeonesha mfano..uandamane peke yako..shida yako ww na kina maria sarungi na huyoo mtoto wa rais wa zanzibar mnaandamana kwenye keyboard zenu. Tena mmegawana, ww humu jf kwa wajinga wenzio, maria ma mwenzake wako twiter.
Zero brain!
 
Naomba title yake Mkuu nikupe likes.
Unaitwa vunja ukimya magonjwa ya akili yanatibika

Nipe vote mkuu kwa njia ya chrome sio hii normal app

Pia nisaidie kutafta votes kwingine
 
Reactions: BAK
Kila kitu kina sababu zake wewe ukujua yaliyokuwa nyuma ya kovid katika awamu ya 5 hadi kupelekea serikali ya magufuli kutambua kuna ujuma acha nikukumbushe maana nyinyi vichwa panzi ni wepesi kusahau ,unakumbuka kabla ya covid duniani watu wasiyo itakia mama nchi yetu walisema tanzania kunaugonjwa wa ZIKA vyombo vyote vya habari vya kimataifa vilipiga kelele kuwa serikali inaficha zika walipo shindwa kwenye ili wakasema tena tanzania kuna ugonjwa wa EBOLA sasa mm nakuuliza unadhani serikali makini inge noti kitu gani ,pia umesahau walivyo kuwa wanasema tz tuna anguka mabarabarani kwa kovid sasa mimi nakuuliza ilikuwa kweli au uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…