Elections 2010 Naambiwa hizi za Dr Slaa bado ni rashrasha tu

Elections 2010 Naambiwa hizi za Dr Slaa bado ni rashrasha tu

Zak Malang

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2008
Posts
5,404
Reaction score
239

WanaJF: Tumeingia ngwe ya pili ya kampeni na sasa tunaona jinsi shujaa wetu, mkombozi wetu, Dr W. Slaa alivyoanza kutumia ile mitutu mingine katika mashambulizi yake kwa kikundi cha kifisadi kinachoongozwa na JK, RA,EL, Makamba na Kinana. Siwataji wengine ambao ni walamba ukoko tu.

Naambiwa mashambulizi haya ya sasa hivi –wizi wa sh 155 bilioni wa Meremeta na Sh 1.7 trilioni katika hela zilizotengwa kukabiliana na mtikisiko wa uchumi duniani – ni rashrasha tu (small arms fire).

Inatarajiwa ifikapo tarehe 20 mwezi huu mkombozi wetu huyo atakuwa anatumia mitutu yote (firing from all cylinders) tena kwa kutumia ile ya mizinga mikubwa (heavy artillery, howitzers etc) na hapo ndipo kikundi hicho cha wezi kitajua kuwa maharage si mboga, bali ni dawa ya tumbo tu!

Katika hiyo final straight, tunaomba wananchi tuungane pamoja tumpeleke Dr Slaa Ikulu. Tukifanya makosa tena miaka mitano ijayo tutakuwa tumekwisha – JK hawezi kutimiza ahadi zozte anazotoa kwa sababu akimaliza ile ngwe hatakuwa tena Ikulu na hivyo hakuna mtu atakaemuuliza.

 

WanaJF: Tumeingia ngwe ya pili ya kampeni na sasa tunaona jinsi shujaa wetu, mkombozi wetu, Dr W. Slaa alivyoanza kutumia ile mitutu mingine katika mashambulizi yake kwa kikundi cha kifisadi kinachoongozwa na JK, RA,EL, Makamba na Kinana. Siwataji wengine ambao ni walamba ukoko tu.

Naambiwa mashambulizi haya ya sasa hivi –wizi wa sh 155 bilioni wa Meremeta na Sh 1.7 trilioni katika hela zilizotengwa kukabiliana na mtikisiko wa uchumi duniani – ni rashrasha tu (small arms fire).

Inatarajiwa ifikapo tarehe 20 mwezi huu mkombozi wetu huyo atakuwa anatumia mitutu yote (firing from all cylinders) tena kwa kutumia ile ya mizinga mikubwa (heavy artillery, howitzers etc) na hapo ndipo kikundi hicho cha wezi kitajua kuwa maharage si mboga, bali ni dawa ya tumbo tu!

Katika hiyo final straight, tunaomba wananchi tuungane pamoja tumpeleke Dr Slaa Ikulu. Tukifanya makosa tena miaka mitano ijayo tutakuwa tumekwisha – JK hawezi kutimiza ahadi zozte anazotoa kwa sababu akimaliza ile ngwe hatakuwa tena Ikulu na hivyo hakuna mtu atakaemuuliza.



Asante Mkuu niko pamoja naye. Jamani Mkombozi wetu kisha sema kuwa haogopi kitu, yuko tayari hata kuawa kwa kupigwa risasi ili haki itendeke kwa Watz -- sasa tunababaika nini? Tumpe kura zetu. Ni wangapi humu ndani ya Tz wako tayari kufa kwa ajili ya haki? Huyu mtu ni mkombozi ambaye ni serious tumebahatika kumpata, tusi-lose hii chance. Watu wa aina hii Mwenyezi Mungu huwa anawaumba kwa nadra kabisa -- majizi ndiyo anayaumba kwa uwingi sijui kwa nini.
 
WanaJF: Tumeingia ngwe ya pili ya kampeni na sasa tunaona jinsi shujaa wetu, mkombozi wetu, Dr W. Slaa alivyoanza kutumia ile mitutu mingine katika mashambulizi yake kwa kikundi cha kifisadi kinachoongozwa na JK, RA,EL, Makamba na Kinana. Siwataji wengine ambao ni walamba ukoko tu.

Naambiwa mashambulizi haya ya sasa hivi –wizi wa sh 155 bilioni wa Meremeta na Sh 1.7 trilioni katika hela zilizotengwa kukabiliana na mtikisiko wa uchumi duniani – ni rashrasha tu (small arms fire).

Inatarajiwa ifikapo tarehe 20 mwezi huu mkombozi wetu huyo atakuwa anatumia mitutu yote (firing from all cylinders) tena kwa kutumia ile ya mizinga mikubwa (heavy artillery, howitzers etc) na hapo ndipo kikundi hicho cha wezi kitajua kuwa maharage si mboga, bali ni dawa ya tumbo tu!

Katika hiyo final straight, tunaomba wananchi tuungane pamoja tumpeleke Dr Slaa Ikulu. Tukifanya makosa tena miaka mitano ijayo tutakuwa tumekwisha – JK hawezi kutimiza ahadi zozte anazotoa kwa sababu akimaliza ile ngwe hatakuwa tena Ikulu na hivyo hakuna mtu atakaemuuliza.

Hii imekaa safi
 
Duh, kama hizi ni rasharasha, sijui mizinga itakuwaje!!! Big up -- our saviour!!!
 

WanaJF: Tumeingia ngwe ya pili ya kampeni na sasa tunaona jinsi shujaa wetu, mkombozi wetu, Dr W. Slaa alivyoanza kutumia ile mitutu mingine katika mashambulizi yake kwa kikundi cha kifisadi kinachoongozwa na JK, RA,EL, Makamba na Kinana. Siwataji wengine ambao ni walamba ukoko tu.

Naambiwa mashambulizi haya ya sasa hivi –wizi wa sh 155 bilioni wa Meremeta na Sh 1.7 trilioni katika hela zilizotengwa kukabiliana na mtikisiko wa uchumi duniani – ni rashrasha tu (small arms fire).

Inatarajiwa ifikapo tarehe 20 mwezi huu mkombozi wetu huyo atakuwa anatumia mitutu yote (firing from all cylinders) tena kwa kutumia ile ya mizinga mikubwa (heavy artillery, howitzers etc) na hapo ndipo kikundi hicho cha wezi kitajua kuwa maharage si mboga, bali ni dawa ya tumbo tu!

Katika hiyo final straight, tunaomba wananchi tuungane pamoja tumpeleke Dr Slaa Ikulu. Tukifanya makosa tena miaka mitano ijayo tutakuwa tumekwisha – JK hawezi kutimiza ahadi zozte anazotoa kwa sababu akimaliza ile ngwe hatakuwa tena Ikulu na hivyo hakuna mtu atakaemuuliza.



Penye red: hapo ndipo uliponigaragaza sakafuni, mkuu. Sina mbavu kabisa!!!!
 
kazi kwangu mimi na wewe kupiga kura octoba 31,pls dont miss na usiichezee haki yako ya msingi,usirudie makosa teeeeeena
 
hONGERA, MDOMO NI NYUMBA YA MANENO. MWACHIE ASEME TU MWISHO ATACHOKA, NGOMA YA SEKINDE HAICHI KUNOGA

Naamini hata wewe siku chache zijazo kabla jagoo wa demokrasia hajawika utakuwa umemkana JK mara TATU.Tunakujua wewe kwa sasa huzitaki mbichi hizi.PEPOOOOOOS.welcome to the show
 
Naamini hata wewe siku chache zijazo kabla jagoo wa demokrasia hajawika utakuwa umemkana JK mara TATU.Tunakujua wewe kwa sasa huzitaki mbichi hizi.PEPOOOOOOS.welcome to the show

yeye na wengine wanaowasapoti majizi wantegemea kura ziibiwe ili JK ashinde. Hakuna kingine wanachotegemea.
 
hONGERA, MDOMO NI NYUMBA YA MANENO. MWACHIE ASEME TU MWISHO ATACHOKA, NGOMA YA SEKINDE HAICHI KUNOGA

mtaongea sana maneno ya mipasho mwaka huu...kama ambavyo mgombea wenu wa urais anavofanya...hahaaaaaa alifikiri urais ni kuchekacheka ,mmeamua kutumia mpaka jeshi mwaka huu..kazi mnayo
 
Back
Top Bottom