Naamini mume wangu atapatikana humu JF

Naamini mume wangu atapatikana humu JF

Bizy

Member
Joined
Feb 2, 2013
Posts
24
Reaction score
9
Mimi ni dada nina miaka 31, mkristo, ni mrefu, nina elimu ya chuo. Nahitaji mwanaume mwenye uhitaji wa mahusiano yaliyo serious ambayo Mungu akipenda yaishie kwenye ndoa. Huyo mwanaume napenda awe mkristo, kabila lolote, elimu walau form six. Umri wake uanzie miaka 34-40.
 
umesema utapendelea wenye elimu kuanzia kidato cha sita, sie wenye elimu ya msingi hatuezi kupata upendelo wakati masharti yote tumekamilisha?
 
Niko hapa PUB nakusubiri, usini PM we njoo fasta naona mhudumu ananikonyeza.fanya fasta tumalize mkataba
 
Back
Top Bottom