Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

Mi siongelei use and disuse naongelea theory ya Darwin Ina proof ambayo Ni fossils.
Theory ya Darwin, ndiyo hiyo iliyosema kwamba Every living organism evolved from One Ancestor!

Je, Darwin ana proof ya Fossils za huyo Ancestor?
 
Wewe ndiyo unafanya utoto Mkuu,.... Kuliko kuongea maneno mengi ilipaswa uweke uthibitisho wa hizo fossils zinazoonyesha Watu walikua na mkia, Giraffe walikua na Shingo fupi n.k


Modern Scientists, wenyewe wanaipinga hii theory ya Use& Disuse kwa kuwa haina ushahidi wowote........ Wewe kama una ushahidi hata wa fossils weka tuuone.


NB: Jean-Baptiste Lamarck hana uthibitisho hata wa fossils,.. sasa wewe Muumini wake sijui hizo fossils utazitolea wapi.
Screenshot_20230507-122405_Google.jpg


Hapo juu ni twiga aliekua na shingo fupi kando ya twiga anaeishi mpaka sasa... ukiangalia vzr utaona mfanano wa mifupa yao...

Hapa chini ni mnyama anaitwa "okapi" huyu yupo mpaka leo na ni jamii ya twiga:

Screenshot_20230507-122427_Google.jpg
 
Skia atokee mtu yoyote ambae hajajua dini yoyote au chochote kuhusu Mungu wa Biblia au Quran mpaka anafika miaka 20. Afu akaamini bila kutumia miujiza feki ya wachungaji na shuhuda za uwongo. Mtu ambae ameamini story za Biblia au Quran na ametambulishwa nazo Akiwa 20 or above. Ndo aniambie it makes sense. Other than that, mnafundishwa mkiwa watoto because hizo story ni za watoto kuamini sio watu wazima. Religion is the only contract in the world ambae haina age ya consent. Mikataba yote inataka uwe unajielewa na mtu mzima ili ukubali Ila mkataba na dini(Mungu) ndo mtoto anasaini. Hizi Ni bogus treaties
NB: awe na aliki timamu na ameelimika.
 
Bac evolution ain't true..so solution yako ni kuamini majini na hekaya za uarabuni...kwa nini
Nimeamini Qur'an kwasababu mafundisho yake yanaendana na vile ambavyo Mimi napenda kuishi(My Lifestyle)
~Napenda kuishi kwa uadilifu
~Napenda kumchukulia kila mtu kwa usawa regardless dini yake, kabila lake, level yake ya elimu, level yake ya kiuchumi n.k as long as hana baya na mtu au hawatendei watu ubaya.
~Napenda kusamehe alienikosea
~Napenda kumsaidia mtu/kiumbe ambae atakua kwenye shida.
~ Napenda kuongea lugha za staha.
~Napenda kuona Wanawake & Wanaume wakijistiri.

N.k

Kuna mengi mno yaliyonifanya mpaka nikapenda dini hii,... Kama nilivyosema Uislam unaendana na vile nnavyotaka kuishi.
 
Nimeamini Qur'an kwasababu mafundisho yake yanaendana na vile ambavyo Mimi napenda kuishi(My Lifestyle)
~Napenda kuishi kwa uadilifu
~Napenda kumchukulia kila mtu kwa usawa regardless dini yake, kabila lake, level yake ya elimu, level yake ya kiuchumi n.k as long as hana baya na mtu au hawatendei watu ubaya.
~Napenda kusamehe alienikosea
~Napenda kumsaidia mtu/kiumbe ambae atakua kwenye shida.
~ Napenda kuongea lugha za staha.
~Napenda kuona Wanawake & Wanaume wakijistiri.

N.k

Kuna mengi mno yaliyonifanya mpaka nikapenda dini hii,... Kama nilivyosema Uislam unaendana na vile nnavyotaka kuishi.
Lakini uislam si ndo unasema uwauwe wasioamini Allah na unafurahia coz we ni mwanamke na huwezi pigwa mawe kisa kuonyesha nywele. Uislamu ni dini iliyoanzishwa na wanaume ili kumtawala wanawake hamna Mungu ambae anapendelea jinsia... huwezi ukawa mtu wa Mungu afu ukaoa mtoto wa miaka 6 na kulala nae miaka 9..vyote vinaonyesha hii dini imeanzishwa na watu wenye uchu na bikra ya mwanamke na wanampachika Mungu kwenye sheria zao za kikabila
 
Nimekua Muislam baada ya kufikia umri wa balehe,... Yaani baada ya kujitambua.


Unajua nini,... Mfano mtu umezaliwa kwenye familia ya Kiislam ofcoz utasoma elimu ya Kiislam....... Lakini ukishafikia umri wa kujitambua hapo ndiyo utapima kwa akili yako je, napaswa kuamini kile nilichokisoma?

Kama ulichokisoma kinaingia akilini kwa upande wako, ndiyo utaamua kuufuata Uislam sasa,. Lakini kama unaona Elimu ya Uislam ni hekaya tu basi unafuata njia unazotaka wewe Very simple.
Wazazi wako ni waislamu au wakristo.
 
Use and dissuse mfano mzuri ni wa tembo. Idadi ya tembo wasio na meno marefu inaongezeka saivi. Wenye meno marefu wanakua vulnerable to poachers ivo wanaosurvive zaid ni wasio na meno marefu... sinilikupa huu mfano?

Use and dissuse nyingine ni nyoka, unajua asilimia kubwa ya nyoka wana miguu kwenye genes zao? Sema ziko deactivated tu unaweza kuziactivate lab ukatotoa nyoka mwenye miguu... na kuna scenarios zinatokeaga naturally nyoka anatotolewa akiwa na miguu.

Mfano mwingine ni ndege kukosa meno. Kwanza ndege unajua descendants wa dinosaurs? Yani huyo kuku unaefuga ndani kwako anaukaribu zaidi na dinosaurs kuliko kiumbe mwingine yeyeto aliehai...

View attachment 2613074

Juu ni real fossil ya ndege wa zaman iliogunduliwa, chini ni artistic reconstruction. Use and dissuse...

Use and dissuse nyingine ni nyangumi na dolphins. Wao ni mamalia wa majini. Hawakuhitaj miguu ivo ikadisappear.. baadhi ya jamii za nyangumi wanamifupa ambayo inapasa kua miguu ila iko 'stuck' mwilin..
Mkuu jaribu kupitia hii List ya Scientists waliopinga Theory of Use & Disuse.... Naamini utajifunza kitu hapa.., lakini pia utamuona Baba wa Evolution Theory Charles Darwin miongoni mwa wapinzani wakubwa wa Use & Disuse Theory. ⤵️


The theory of Use and Disuse, also known as Lamarckism, proposed that an organism could pass on characteristics acquired during its lifetime to its offspring. However, this theory was discredited by many scientists who conducted experiments and made observations that contradicted the theory's claims. Here are some of the prominent scientists who discredited the Use and Disuse theory:

1. August Weismann: Weismann was a German biologist who conducted experiments on the inheritance of acquired characteristics in mice. He cut off the tails of some mice and observed that their offspring still had tails, disproving the idea that acquired traits could be inherited.

2. Charles Darwin: Darwin, the father of the theory of evolution, rejected Lamarckism in favor of his theory of natural selection. He argued that natural selection was responsible for the evolution of species, not the inheritance of acquired traits.

3. Thomas Henry Huxley: Huxley, a British biologist, argued that there was no evidence to support the idea of acquired characteristics being passed down through generations.

4. Francis Galton: Galton, a British polymath, conducted studies on the inheritance of intelligence and argued that there was no evidence to support the idea of acquired traits being inherited.



Kitu kikubwa ambacho unatakiwa kujua ni kwamba,..... Features za kiumbe zinakua determined na Genes, na sio External traits.

Mfano, Kama Baba na Mama ni walemavu wa Miguu hiyo hamaanishi kwamba watazaa mtoto/watoto ambao ni Walemavu wa Miguu.

Au kama Baba/Mama ana mapengo.... Haimaanishi kwamba watazaa mtoto mwenye mapengo.



Hopefully tunaendelea kujifunza kadri mjadala unavyoendelea✊🏼
 
Mkuu jaribu kupitia hii List ya Scientists waliopinga Theory of Use & Disuse.... Naamini utajifunza kitu hapa.., lakini pia utamuona Baba wa Evolution Theory Charles Darwin miongoni mwa wapinzani wakubwa wa Use & Disuse Theory. [emoji3593]


The theory of Use and Disuse, also known as Lamarckism, proposed that an organism could pass on characteristics acquired during its lifetime to its offspring. However, this theory was discredited by many scientists who conducted experiments and made observations that contradicted the theory's claims. Here are some of the prominent scientists who discredited the Use and Disuse theory:

1. August Weismann: Weismann was a German biologist who conducted experiments on the inheritance of acquired characteristics in mice. He cut off the tails of some mice and observed that their offspring still had tails, disproving the idea that acquired traits could be inherited.

2. Charles Darwin: Darwin, the father of the theory of evolution, rejected Lamarckism in favor of his theory of natural selection. He argued that natural selection was responsible for the evolution of species, not the inheritance of acquired traits.

3. Thomas Henry Huxley: Huxley, a British biologist, argued that there was no evidence to support the idea of acquired characteristics being passed down through generations.

4. Francis Galton: Galton, a British polymath, conducted studies on the inheritance of intelligence and argued that there was no evidence to support the idea of acquired traits being inherited.



Kitu kikubwa ambacho unatakiwa kujua ni kwamba,..... Features za kiumbe zinakua determined na Genes, na sio External traits.

Mfano, Kama Baba na Mama ni walemavu wa Miguu hiyo hamaanishi kwamba watazaa mtoto/watoto ambao ni Walemavu wa Miguu.

Au kama Baba/Mama ana mapengo.... Haimaanishi kwamba watazaa mtoto mwenye mapengo.



Hopefully tunaendelea kujifunza kadri mjadala unavyoendelea[emoji1364]
Evolution is all about use and dissuse. Sasa unasemaje kuhusu hii ya tembo, ambayo ni kitu recent (about a span of 100years). Kama sio use and dissuse ni nn basi?

You've got your facts wrong...
 
Nimekua Muislam baada ya kufikia umri wa balehe,... Yaani baada ya kujitambua.


Unajua nini,... Mfano mtu umezaliwa kwenye familia ya Kiislam ofcoz utasoma elimu ya Kiislam....... Lakini ukishafikia umri wa kujitambua hapo ndiyo utapima kwa akili yako je, napaswa kuamini kile nilichokisoma?

Kama ulichokisoma kinaingia akilini kwa upande wako, ndiyo utaamua kuufuata Uislam sasa,. Lakini kama unaona Elimu ya Uislam ni hekaya tu basi unafuata njia unazotaka wewe Very simple.
Unajua unachekesha kichizi ..mwanamke akibalehe ana miaka 9 ndo inamaanisha anajielewa ama...ndo Ina maanisha unaweza ukamfanya mke wako au ..nyie acheni nyege.. tofautisheni mental growth na sexual growth...kuota mavuzi sio kujielewa juu ya mambo ya kufikiri. Wewe ulivyokuwa la Saba na saa hivi una akili sawa... Hebu tuweni serious..sheria zote duniani zinataka mtu awe adult ili mkataba uwe valid. Mkataba wako wa Allah sio valid ukiwa na miaka 13 unaweza kuamini ujinga wowote ule coz Ni mtoto, huwezi reason unasikiliza wazazi wanachokuambia coz ndo wanaokupa kila kitu... Sasa huwezi sema umedecide mwenyewe. Nisawa na mtu aje akuambie mchague Allah au jiwe. It's pointless umepewa option moja of course utachagua Allah...Ila ungejua dini zote duniani, ungejua history na ukweli wa kuhusu zote kwamba ni man made... usingekuwa na dini yoyote. Kama Mimi.
 
Hahh mbona hasira sasa Mkuu,....

So, fossils za huyo Ancestor Ili tuthibitishe uwepo wake hatuwezi kupata?
Science doesn't have all the answers. Miaka 200 iliyopita tuliamini mbinguni ni juu mawinguni Leo hii ukipanda air Tanzania unavuka mbinguni..just because hatuna majibu yote now doesn't mean hatutafika..science Ina progress..haiassume majibu Kama yenu cjui majini sijui malaika sijui mtume
 
Unajua unachekesha kichizi ..mwanamke akibalehe ana miaka 9 ndo inamaanisha anajielewa ama...ndo Ina maanisha unaweza ukamfanya mke wako au ..nyie acheni nyege.. tofautisheni mental growth na sexual growth...kuota mavuzi sio kujielewa juu ya mambo ya kufikiri. Wewe ulivyokuwa la Saba na saa hivi una akili sawa... Hebu tuweni serious..sheria zote duniani zinataka mtu awe adult ili mkataba uwe valid. Mkataba wako wa Allah sio valid ukiwa na miaka 13 unaweza kuamini ujinga wowote ule coz Ni mtoto, huwezi reason unasikiliza wazazi wanachokuambia coz ndo wanaokupa kila kitu... Sasa huwezi sema umedecide mwenyewe. Nisawa na mtu aje akuambie mchague Allah au jiwe. It's pointless umepewa option moja of course utachagua Allah...Ila ungejua dini zote duniani, ungejua history na ukweli wa kuhusu zote kwamba ni man made... usingekuwa na dini yoyote. Kama Mimi.
Mtume wao sindo alimuoa aisha akiwa na miaka sita. Na kufanya nae ngojo akiwa na miaka 9... alimuoa akiwa mdogo, bado anachezea midoli. Baadhi ya wafuasi wake wanaita hii ni sunna ivo wanaoa watoto wadogo[emoji2365]
 
Lakini uislam si ndo unasema uwauwe wasioamini Allah na unafurahia coz we ni mwanamke na huwezi pigwa mawe kisa kuonyesha nywele. Uislamu ni dini iliyoanzishwa na wanaume ili kumtawala wanawake hamna Mungu ambae anapendelea jinsia... huwezi ukawa mtu wa Mungu afu ukaoa mtoto wa miaka 6 na kulala nae miaka 9..vyote vinaonyesha hii dini imeanzishwa na watu wenye uchu na bikra ya mwanamke na wanampachika Mungu kwenye sheria zao za kikabila
Hayo unayosema juu ya Uislam ni uongo.

1. Uislam hausemi kuwaua wasioamini Allah,... Bali umeruhusu kujitetea endapo utashambuliwa na watu hao.

2. Hakuna Sehemu Uislam eti unasema Mwanamke asipofunika Nywele apigwe mawe, hakuna labda ulazimishe uongo.

3. Kuhusu kuoa mtoto wa miaka 6,.... Hiyo ni hadithi tu na usahihi wa hiyo Hadithi ni questionable.... atleast ungesema Qur'an ndiyo imesema hivyo ningekuelewa.


Kama unataka ku discredit Qur'an njoo na facts,... Ukitunga uongo inaonyesha umeshindwa kupata ukweli.


Ahsante.
 
Science doesn't have all the answers. Miaka 200 iliyopita tuliamini mbinguni ni juu mawinguni Leo hii ukipanda air Tanzania unavuka mbinguni..just because hatuna majibu yote now doesn't mean hatutafika..science Ina progress..haiassume majibu Kama yenu cjui majini sijui malaika sijui mtume
Bado kuna kikundi cha waislamu na dini zingine wanaamini dunia ni kitu flat
 
Unajua unachekesha kichizi ..mwanamke akibalehe ana miaka 9 ndo inamaanisha anajielewa ama...ndo Ina maanisha unaweza ukamfanya mke wako au ..nyie acheni nyege.. tofautisheni mental growth na sexual growth...kuota mavuzi sio kujielewa juu ya mambo ya kufikiri. Wewe ulivyokuwa la Saba na saa hivi una akili sawa... Hebu tuweni serious..sheria zote duniani zinataka mtu awe adult ili mkataba uwe valid. Mkataba wako wa Allah sio valid ukiwa na miaka 13 unaweza kuamini ujinga wowote ule coz Ni mtoto, huwezi reason unasikiliza wazazi wanachokuambia coz ndo wanaokupa kila kitu... Sasa huwezi sema umedecide mwenyewe. Nisawa na mtu aje akuambie mchague Allah au jiwe. It's pointless umepewa option moja of course utachagua Allah...Ila ungejua dini zote duniani, ungejua history na ukweli wa kuhusu zote kwamba ni man made... usingekuwa na dini yoyote. Kama Mimi.
Umekurupuka, nilivyosema kubalehe nimemaanisha kupevuka kiakili.


Hayo mambo mengine umeyatoa wapi?


Be humble, read between the lines.
 
Science doesn't have all the answers. Miaka 200 iliyopita tuliamini mbinguni ni juu mawinguni Leo hii ukipanda air Tanzania unavuka mbinguni..just because hatuna majibu yote now doesn't mean hatutafika..science Ina progress..haiassume majibu Kama yenu cjui majini sijui malaika sijui mtume
Ukipanda Air Tanzania unavuka mbinguni?

Inabidi ujifunze kutofautisha Sky and Heavens.


Tena hizo Heavens zipo Saba, sasa Sijui hiyo Air Tanzania imefika heaven ya ngapi.



Kuvuka kwenye Blackhole tu Bado, wewe ushakimbilia kuvuka Mbinguni
 
Shetani alianza kama wewe, nahisi Mungu katuumba katika namna ya uhuru zaidi na utawala hivyo twaamua vingi katika uwezo wetu....lakini yeye ni mkuu na yupo nje ya mawazo yetu....yeye ni mkamilifu lakini sisi hatuwezi kuwa wakamilifu, hiyo ni sifa kuu ya kufanya yeye awe Mungu na sisi tuwe wanadamu....amini, kabla ya kifo chako
 
Ukipanda Air Tanzania unavuka mbinguni?

Inabidi ujifunze kutofautisha Sky and Heavens.


Tena hizo Heavens zipo Saba, sasa Sijui hiyo Air Tanzania imefika heaven ya ngapi.



Kuvuka kwenye Blackhole tu Bado, wewe ushakimbilia kuvuka Mbinguni
Heavens hizo saba ziko wapi?
 
Ukipanda Air Tanzania unavuka mbinguni?

Inabidi ujifunze kutofautisha Sky and Heavens.


Tena hizo Heavens zipo Saba, sasa Sijui hiyo Air Tanzania imefika heaven ya ngapi.



Kuvuka kwenye Blackhole tu Bado, wewe ushakimbilia kuvuka Mbinguni
Unaijua story ya Noah...story ya Babel... mbingu ni mawinguni..nyie mkaja na Saba zenu hizo...basi tuzungumzie walioenda space na mwezini. Machine zilizotua mars elezea bac
 
Back
Top Bottom